Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Tangu aanze kampeni, sijamsikia JK kuzungumzia kwa kina, bila ya kigugumizi, uovu wa ufisadi na jinsi atakavyopigana na kansa hiyo iliyoenea katika serikali yake na jamii pia.
Jee haoni kama hili ni tatizo kubwa hasa ikizingatiwa kwamba ni suala ambalo linamtishia yeye na chama chake kungoka madarakani na ndo maana ameamua hakuna kulala? Haoni kinachomletea upinzani mkubwa miongoni mwa wapiga kura ni ufisadi? Anaogopa kwa nini?
Jamaa huyu ananishangaza kweli kweli!!
Jee haoni kama hili ni tatizo kubwa hasa ikizingatiwa kwamba ni suala ambalo linamtishia yeye na chama chake kungoka madarakani na ndo maana ameamua hakuna kulala? Haoni kinachomletea upinzani mkubwa miongoni mwa wapiga kura ni ufisadi? Anaogopa kwa nini?
Jamaa huyu ananishangaza kweli kweli!!