theophilius
Senior Member
- Nov 19, 2010
- 150
- 54
Mpaka sasa najiuliza Rais wetu anasubili nini, kumchukulia hatua Jairi, Ngereja, Luhanjo and co!
Anataka amwambie nani kwamba watu hao hawaamini tena mbele ya umma, kwani uadilifu wao wameutia mchanga wenyewe!
au, anataka aone mtu anatemewa mate adharani ndiyo ajue kwamba mtu amechokwa!
kwa kadiri mambo yalivyokwenda juzi bungeni na mitaani (kama bado wale mashushu bado wanafanya kazi zao) basi inahitajika akili 'za kiuwendawazimu' kupuuza wito wa kuwachukulia hatua, vinara hao wa ufisadi, ambao hata aibu hawana. hata kama ni kaka, mjomba au rafiki wa damu lazima hatua zichukuliwe, vinginevyo kama zengwe lilivyokua na kuenea hadi kuwatumbukiaza akita Utto na Luhanjo, linaweza kuwasakama wengine... hadi Rais mwenyewe jambo ambalo sitaki kulifikiria
"P'se President chukua hatua tena haraka, ukisubiri shinikizo utajua mwenyewe maana shinikizo litakalofuata ni kukutaka hata wewe uachie ngazi"
Anataka amwambie nani kwamba watu hao hawaamini tena mbele ya umma, kwani uadilifu wao wameutia mchanga wenyewe!
au, anataka aone mtu anatemewa mate adharani ndiyo ajue kwamba mtu amechokwa!
kwa kadiri mambo yalivyokwenda juzi bungeni na mitaani (kama bado wale mashushu bado wanafanya kazi zao) basi inahitajika akili 'za kiuwendawazimu' kupuuza wito wa kuwachukulia hatua, vinara hao wa ufisadi, ambao hata aibu hawana. hata kama ni kaka, mjomba au rafiki wa damu lazima hatua zichukuliwe, vinginevyo kama zengwe lilivyokua na kuenea hadi kuwatumbukiaza akita Utto na Luhanjo, linaweza kuwasakama wengine... hadi Rais mwenyewe jambo ambalo sitaki kulifikiria
"P'se President chukua hatua tena haraka, ukisubiri shinikizo utajua mwenyewe maana shinikizo litakalofuata ni kukutaka hata wewe uachie ngazi"