mvunjamiwa
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 453
- 116
Katika vikao vya Bunge linaloendelea Dodoma, Wabunge wamezuiliwa kujadili jambo lolote linalohusiana na mgomo wa Madaktari na Spika wa bunge kwa sababu kuwa kesi ipo Mahakamani hivyo bunge haliwezi kuingilia Mhimili mwingine wa dola (Mahakama).
Kama kuna ukweli katika hilo ni kwa vipi Rais ameongelea suala la madaktari tena kwa kirefu sana katika hotuba yake. Je, Rais yupo juu ya sheria? Ana uhuru wa kuingilia Mahakama?
Ni kwa nini Wabunge wasiruhusiwe pia kuzungumzia jambo hilo tupate upande wa pili wa mambo yaliyojificha?
Kama kuna ukweli katika hilo ni kwa vipi Rais ameongelea suala la madaktari tena kwa kirefu sana katika hotuba yake. Je, Rais yupo juu ya sheria? Ana uhuru wa kuingilia Mahakama?
Ni kwa nini Wabunge wasiruhusiwe pia kuzungumzia jambo hilo tupate upande wa pili wa mambo yaliyojificha?