Huyu ni chaguo la AU lazima apewe heshima na wanachama wa AU.
Somalia inahitaji uungwaji mkono hasa wa waafrika wenyewe. Tuwe tayari kuisaidia.
Kabla ya Rais wa Somalia kuwasili wakakumbuka asubuhi ile ile kwamba hakuna balozi wa Somalia Tanzania, ikabidi msomali mmoja avalishwe suti fasta akaenda kujitambulisha Ikulu kama balozi mpya wa Somalia Dar-es-Salaam. That was real ghetto...
unajua tunajitakia matatizo tu na alshabab ..kujitanua tanua kifua huku ndo kuliwa cost waganda siku ya fainali ya kombe la dunia...
Maadam ni Rais na anatambulika kimataifa na duniani kwa ujumla anastahiki kupatiwa heshima yake wacha wivu
kwa jinsi ninavyokumbuka ni kwamba siku chache zilizopita ben membe alisema somalia hakuna serikali sasa huyu rais katoka wapi?
<br />Kabla ya Rais wa Somalia kuwasili wakakumbuka asubuhi ile ile kwamba hakuna balozi wa Somalia Tanzania, ikabidi msomali mmoja avalishwe suti fasta akaenda kujitambulisha Ikulu kama balozi mpya wa Somalia Dar-es-Salaam. That was real ghetto...<br />
<div align="center"><img src="http://4.bp.blogspot.com/-RfBuhgkuloo/Tag4kbAk3GI/AAAAAAAAdHc/OHY0pHfR4SA/s400/IMG_8905.jpg" border="0" alt="" /></div>