lm317
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 451
- 44
Ndugu yangu CCM kufa ni lazima, ni kama sikio la kufa! Halisikii dawa!
Kweli Tatizo lililopo ndani ya CCM ni kuwa viongozi hawataki kabisa kukubaliana na ule usemi wa Mwl.Nyerere aliwaeleza kuwa 1995 "vyama vya upinzani vilikuwa ni vichanga lakini wanatakiwa wajifunze kuiendesha nchi katika mfumo wa vyama vingi"
Sasa hapo ndipo viongozi wa CCM ndipo walipo kosea njia wakabweteka hawakujua mambo yanakuja kwa kasi na sasa haya hapo usoni kwao wanashindwa jinsi ya kujinasua kinachobakia wao wanataka kujihararisha kuwa waondio wateule wa nchi hii na wengine sio tena kwa mabavu. Itawagharimu sana kawa hawatojipanga mifano mizuri KANU ya kenya leo iko wapi choko choko kama hizi zilianza hivi hivi 1993 FORD Kenya ya kina Jaramogi Odinga Oginga walimgomea Moi kwenye bunge wakatoka nje na matokeo yake KANU ilikufa na vurugu zikaja mpaka sasa wamepata katiba mpya kwa kumwaga damu baina yao kwa wao na ndani ya vyama vyao na ndio hiyo viongozi wa CCM wanaikaribisha sasa
Serikali inatakiwa ilichukulie hili jambo kwa umakini zaidi wasilifanyie mzaha mifano mingi tu kwa majirani zetu sio kuwa sio ni binadamu kamili hapana nasi tuna mapungufu yetu. na Tuyatatue
Unapoteza dawa zako bure!