Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 872
Nimekuwa nikijiuliza kwa nini hapa JF sioni matangazo ya kutosha licha ya umaarufu wake nchini na duniani.Nina amini kwa sasa hapa nchini ukimwuliza mtu mwenye kufuatilia vyombo vya habari nchini hasa mitandao ya kijamii,atakuambia Jf ndio anaujua.
Lakini matangazo ya kibiashara yamekuwa adimu sana hapa jamvini.Kuna blog moja ambayo sidhani kama ina umaarufu sana kuzidi huu lakini imejaa matangazo mengi ya kampuni kubwa kubwa.Labda kama jina la mmiliki ndio ina fanya ipate matangazo zaidi.Hapa JF kuna nini?Hakuna mtu wa marketing anayeweza kutafuta matangazo nje ili kutunisha mfuko wa JF?
Nina amini mtu akitangaza na JF atapata faida zaidi.
Mods tupeni taarifa kama marketer yupo au la.
Lakini matangazo ya kibiashara yamekuwa adimu sana hapa jamvini.Kuna blog moja ambayo sidhani kama ina umaarufu sana kuzidi huu lakini imejaa matangazo mengi ya kampuni kubwa kubwa.Labda kama jina la mmiliki ndio ina fanya ipate matangazo zaidi.Hapa JF kuna nini?Hakuna mtu wa marketing anayeweza kutafuta matangazo nje ili kutunisha mfuko wa JF?
Nina amini mtu akitangaza na JF atapata faida zaidi.
Mods tupeni taarifa kama marketer yupo au la.