Kwanini Israel iruhusiwe kuwa na silaha za nyuklia?

Na kwanini awe peke yake na maadui wengi? Huoni ana matatizo mkuu?

Kwa mgalatia Hii issue ya WAISRAELI kuwa na Maadui TUPU ni Sifa ya Ujasiri!
Yaani wao wakiishi na majirani zao wote kwa UADUI basi hapo ndipo mungu wao anaskia raha sana akaamua mpaka kuwapa cheo cha taifa la kwake teule takatifu!

Teh teh teh!

Ugalatia Kazi nyie!!
Duhhh!
 
We unajifanya Hutambui kuwa Hata wachawi wanafanikiwa sana mambo yao hali ya kuwa hawana rafiki?

Israeli Wameandamwa na LAANA KUU.
Vijana wao asilimia 60 ni waliberali.

Taifa limejaa Mashoga kuliko matunda!

Leo hii Tel aviv imepewa Taji la Kuwa ni MJI MKUU WA MASHOGA DUNIANI.

Gonga hapa uone mashoga wa Taifa teule.
http://www.catholic.org/news/international/europe/story.php?id=51339


Hapo Kuna kitu kimebaki?

Baada ya miaka michache tu ya mbele Lile taifa litafanya kila raia WAKE lzm awe SHOGA!

Hapo ndipo we mkwesa utkapopakwa Rangi za midomo bila hiari.

kuwa kwao mashoga kuna husianaje na kuwa na marafiki ? no wander watangulizi wenu walikuwa wanagombea makohozi ya.mtume wenu.kufikiri kumekufa kabisaaaa
mimi siabudu wala kuuishi uisrael au uyahudi mimi ni Wa - Kristo na nafahamu agano la Mungu juu ya Israel.
hakuna Jipya nini leo tel aviv umesahau SODOMA NA GOMO... MSUKULE WEWE ?
m
Mungu anahitaji Roho inayomkiri katika taifa na sio asilimia fulani ya wsiotenda uovu fulani.
mabwabwa kujifanya mnakandia ushoga !
 
ImageUploadedByJamiiForums1424515030.014001.jpg
Ngoja tujipongeze na NENO kidogo ndugu Bill Cosby kutoka kwenye BIBI-LIA...

YEREMIA 25:6-9 "Bwana wa Majeshi, Mungu wa Israel(Yehova)asema kunyweni na kulewa, kutapika na kuanguka.
 
Last edited by a moderator:
Israel imezungukwa na maadui pande zote hivyo ni vizuri ikawa na silaha za nyuklia za kujilinda! Hata hivyo sina uhakika kama Israel ni signatory wa Nuclear Non-Proliferation Treaty!

Udini wako unakuponza!
Kwa akili yako adui ni nani? Ni aliekalia ardhi ya watu au anayetaka kujikopomboa? Yaani Afrika Kusini ya Makaburu ilikuwa imezungukwa na maadui?
 
Umekosea kiswahili.
Sema Waungwana wako jirani Na ADUI MKUBWA SANA wa Binaadamu. Nae ni ISRAELI.

Wewe ktk Historia ya Dunia hii wapi ulishaona Taifa HALINA rafiki HATTA MMOJA DUNIANI?

Israel ni Taifa pekee Duniani Lisilo na rafiki wa kweli.

Hao wanajiita marafiki wa Israel Wote wanasema hivyo kwa maslahi tu. Na hayo wanayasema Wazi kabisa.

Hii nchi inatakiwa Ipanguswe kabisa duniani. israeli NI Saratani ya Dunia.

Hapo ndio unapoona nguvu na ubabe wa Israel;Hana rafiki lakini anakaa kibabe na maadui na kila anaeleta za kuleta anatulizwa.Waarabu hawana hamu nae kabisa.Kuna uwezekano hawa Jamaa wamebarikiwa toka zamani na Mungu wao anawapigania.
 
Hapo ndio unapoona nguvu na ubabe wa Israel;Hana rafiki lakini anakaa kibabe na maadui na kila anaeleta za kuleta anatulizwa.Waarabu hawana hamu nae kabisa.Kuna uwezekano hawa Jamaa wamebarikiwa toka zamani na Mungu wao anawapigania.

Unamuongelea yule waliomuwamba msalabani au?

Halafu umeshawahi kuskia taifa linalopiganiwa na Mungu?

Bangi mbaya Shangazi.
 
Unamuongelea yule waliomuwamba msalabani au?

Halafu umeshawahi kuskia taifa linalopiganiwa na Mungu?

Bangi mbaya Shangazi.

Mungu ndio anawapigania watu wake.Siku hizi vikundi vya kigaidi kama Boko Haram,AL shabaab na Wanamgambo wa Dola la Kiislamu eti ndio wanampigania Mungu asidhalilishwe.Eti mungu wao ni dhaifu hawezi kujipigania na kuwapigania watu wake.
 
Mungu ndio anawapigania watu wake.Siku hizi vikundi vya kigaidi kama Boko Haram,AL shabaab na Wanamgambo wa Dola la Kiislamu eti ndio wanampigania Mungu asidhalilishwe.Eti mungu wao ni dhaifu hawezi kujipigania na kuwapigania watu wake.

Tukisema Wagalatia akili maji tunapigwa ban.
Hivi wewe unafahamu maana Ya MUNGU? Au unaropoka tu.

Mungu MKUU ana haja ya kupigana na viumbe alivyo viumba mwenyewe wakati Uhai na umauti anaumiliki mwenyewe?

Hivi kule nyuma ya madhabahu huwa mnapewa vitu gani vya kuharibu fikra?

Km hao wayahudi wanapiganiwa na yule MUNGU MKUU kweli wangekuwa wanateswa na watu km wapalestina wasiokuwa na Mzinga wala Ndege hatta moja ya vita?

Kiasi kwamba nchi yao nzima wameizungushia Ukuta km Bata yatima wanaoogopa Mwewe?
Leo hii walastina hawana Jeshi wala mizinga wala ndege za kivita lkn hilo taifa la so called teule wanahara ovyo! Hebu nambie kesho wale jamaa wakikamata ndege moja tu ya kivita hao waume zenu watajificha wapi sijui!

Shirikisha ubongo faradume.au na wewe ni ktk lile kundi la wagalatia waliologwa?
Wagalati 1:3 paulo anawauliza lkn mpaka leo hamjampa jibu!
 
Tukisema Wagalatia akili maji tunapigwa ban.
Hivi wewe unafahamu maana Ya MUNGU? Au unaropoka tu.

Mungu MKUU ana haja ya kupigana na viumbe alivyo viumba mwenyewe wakati Uhai na umauti anaumiliki mwenyewe?

Hivi kule nyuma ya madhabahu huwa mnapewa vitu gani vya kuharibu fikra?

Km hao wayahudi wanapiganiwa na yule MUNGU MKUU kweli wangekuwa wanateswa na watu km wapalestina wasiokuwa na Mzinga wala Ndege hatta moja ya vita?

Kiasi kwamba nchi yao nzima wameizungushia Ukuta km Bata yatima wanaoogopa Mwewe?
Leo hii walastina hawana Jeshi wala mizinga wala ndege za kivita lkn hilo taifa la so called teule wanahara ovyo! Hebu nambie kesho wale jamaa wakikamata ndege moja tu ya kivita hao waume zenu watajificha wapi sijui!

Shirikisha ubongo faradume.au na wewe ni ktk lile kundi la wagalatia waliologwa?
Wagalati 1:3 paulo anawauliza lkn mpaka leo hamjampa jibu!

Elimu ya Madrasa ni Majanga.Ndio maana tukiwaambia Yesu Kristo ni nafsi ya Pili ya Mungu ndani ya Utatu Mtakatifu,Mungu Mmoja mnachanganyikiwa.Kupigana sio lazima ubebe Jambia au Kifaru na uende Mstari wa Mbele.Kupigana ni hata kutoa neno au Pumzi yenye nguvu ambayo itawasaidia wanaokuheshimu.Nikupe mfano mdogo tu,'Mungu(YEHOVA) alipigana upande wa Waisrael dhidi ya Jeshi la Farao. Narudia tena, tatizo ni Elimu ambayo inakufanya usielewe mambo rahisi kabisa.Halafu unazidi kuchekesha walionuna eti Israeli inateswa na Palestina!!!!!!.Hii ni sawa na kusema Tanzania inateswa na Majambazi.Kituko cha Karne.
 
Elimu ya Madrasa ni Majanga.Ndio maana tukiwaambia Yesu Kristo ni nafsi ya Pili ya Mungu ndani ya Utatu Mtakatifu,Mungu Mmoja mnachanganyikiwa.Kupigana sio lazima ubebe Jambia au Kifaru na uende Mstari wa Mbele.Kupigana ni hata kutoa neno au Pumzi yenye nguvu ambayo itawasaidia wanaokuheshimu.Nikupe mfano mdogo tu,'Mungu(YEHOVA) alipigana upande wa Waisrael dhidi ya Jeshi la Farao. Narudia tena, tatizo ni Elimu ambayo inakufanya usielewe mambo rahisi kabisa.Halafu unazidi kuchekesha walionuna eti Israeli inateswa na Palestina!!!!!!.Hii ni sawa na kusema Tanzania inateswa na Majambazi.Kituko cha Karne.

Huyo mungu wako mmemgeuza PAKA?
Kwa maana yako ina maana ile nafsi ya pili ILIPOKUFA KWA MUDA WA SIKU TATU huyo mungu wako aliishi na Nafsi moja km Paka Mwenye nafsi nyingi sio?


Na huyo yehova km ni Mungu kweli kwanini asubiri mpaka apigane na viumbe aliowaumba yeye mwenyewe?
Kwanini hao maadu8 asiwachomoe roho zao tu biashara ikamalizika?

Sasa km mungu yehova Anapigana na Wewe unapigana Tofauti yenu ni nini?

Hizi akili zenu ndio maana mpaka kesho Mtaabudu Picha ya Mzungu.
 

Hakuna kitu kikaandikwa Muislam kikawa taizo kwa Mkristo, Wakristo tunaamini mtu kuwa Muislam katika zama hizi za utandawazi ambapo elimu iko wazi kila mahali ni kwa kuwa mtu husika uwezo wake wa kufikiri ni mdogo mnooo anazidiana na nguruwe kidogo sana.
Sielewi ni kwa vipi mtu mwebnye uwezo mzuri wa kufikiri aweza kuwa Muislam ! sana sana aweza kuwa Atheist ili asaidiwe...
 
Huyo mungu wako mmemgeuza PAKA?
Kwa maana yako ina maana ile nafsi ya pili ILIPOKUFA KWA MUDA WA SIKU TATU huyo mungu wako aliishi na Nafsi moja km Paka Mwenye nafsi nyingi sio?


Na huyo yehova km ni Mungu kweli kwanini asubiri mpaka apigane na viumbe aliowaumba yeye mwenyewe?
Kwanini hao maadu8 asiwachomoe roho zao tu biashara ikamalizika?

Sasa km mungu yehova Anapigana na Wewe unapigana Tofauti yenu ni nini?

Hizi akili zenu ndio maana mpaka kesho Mtaabudu Picha ya Mzungu.

Sio wewe ndugu ni mazingira yaliyokukuza yamefisha kabisa uwezo wa.kibinadam wa.kufikiri. ndiyo sababubnadam mwenye akili timamu.unaamini ati.kuna.siku ya hukumu ambapo Mungu atapima uwingi wa amali njema au mbaya ili kuamua mtu aende naye motoni au apewe mabikra 70.
mungu garasa kabisa
 
Hakuna kitu kikaandikwa Muislam kikawa taizo kwa Mkristo, Wakristo tunaamini mtu kuwa Muislam katika zama hizi za utandawazi ambapo elimu iko wazi kila mahali ni kwa kuwa mtu husika uwezo wake wa kufikiri ni mdogo mnooo anazidiana na nguruwe kidogo sana.
Sielewi ni kwa vipi mtu mwebnye uwezo mzuri wa kufikiri aweza kuwa Muislam ! sana sana aweza kuwa Atheist ili asaidiwe...

We mpaka leo 2015 unabumba kinyago cha mzungu halafu unakipiga busu na kukiomba kikusaidie.
Unanunua picha ya mzungu dukani ukaiweka Chumbani Ukaiabudu.
Na mpaka leo 2015 Ukishazini au Kuiba mali ya Ummah unakwenda kwenye vile vioski vyenu ndani ya makanisa halafu msanii anakuja unamueleza uzinifu wako halafu eti ANAKUSAMEHE!

Hio km ndio unaiita AKILI basi Mi sina haja nayo.
 
We mpaka leo 2015 unabumba kinyago cha mzungu halafu unakipiga busu na kukiomba kikusaidie.
Unanunua picha ya mzungu dukani ukaiweka Chumbani Ukaiabudu.
Na mpaka leo 2015 Ukishazini au Kuiba mali ya Ummah unakwenda kwenye vile vioski vyenu ndani ya makanisa halafu msanii anakuja unamueleza uzinifu wako halafu eti ANAKUSAMEHE!

Hio km ndio unaiita AKILI basi Mi sina haja nayo.

kwa kuwa sifanyi hayo,nafahamu umeyaandika kuthibitisha kuwa wewe huwezi kufikiri zaidi ya ulivyokaririshwa!
huwezi kufikiri kama binadamu...
wewe ni msukule upo kama machine iliyowekwa programu inayoiendesha...
dini yako ndiyo yakulaumiwa kukufanya binadamu msukule usiye fikiri kabisa unatenda sawa naa nguruwe aliyefundishwa kunusa
 
Pamoja na maendeleo mambo makubwa ambayo sayansi imefanya kumpatia maendeleo makubwa mwanadamu lakini bado kuna watu ambao wanaendelea kuamini hadithi za kutunga za toka karne hizo.
Ninyi ndio religious fanatics.
 
kwa kuwa sifanyi hayo,nafahamu umeyaandika kuthibitisha kuwa wewe huwezi kufikiri zaidi ya ulivyokaririshwa!
huwezi kufikiri kama binadamu...
wewe ni msukule upo kama machine iliyowekwa programu inayoiendesha...
dini yako ndiyo yakulaumiwa kukufanya binadamu msukule usiye fikiri kabisa unatenda sawa naa nguruwe aliyefundishwa kunusa

Teh teh teh!
7namtukana Mnyama wa Bwana?
We huna habari mkiristo na Nguruwe ni km MMASAI NA ng'ombe!

Ngoja Askofu wako akusome unavyo dhalilisha kitoweo chake uone kitu atakachokufanya Nyuma ya Madhabahu.

Nyie ndio wale manoambiwa "Inama kwa jina la bwana"! Na wewe unashkishwa ukuta huku ukipiga haleluyah!

Nakuuliza wewe mwenye Akili nyingi hivi yule mzungu kweli unakubali kabisa kuwa ni MUNGU?
 
Teh teh teh!
7namtukana Mnyama wa Bwana?
We huna habari mkiristo na Nguruwe ni km MMASAI NA ng'ombe!

Ngoja Askofu wako akusome unavyo dhalilisha kitoweo chake uone kitu atakachokufanya Nyuma ya Madhabahu.

Nyie ndio wale manoambiwa "Inama kwa jina la bwana"! Na wewe unashkishwa ukuta huku ukipiga haleluyah!

Nakuuliza wewe mwenye Akili nyingi hivi yule mzungu kweli unakubali kabisa kuwa ni MUNGU?

ungekuwa unaweza kurejea hata andiko moja kusindikiza umsukule wako ingekuwa afadhali, najua ilivyongumu kwako kwa kuwa unatumia waliyofikiri wenzio.
Yesu Kristo ni Mungu na sina shaka na hilo sasa sielewi unapoandika "...yule Mzungu" una maana gani
nazungumzia uwezo wa nguruwe kufikiri. sikujua kama kumfananisha nawe nakuwa nadhalilisha kitoweo,watanisamehe kutumia kitoweo kama mfano wa akili za misukule ninyi.
 
ungekuwa unaweza kurejea hata andiko moja kusindikiza umsukule wako ingekuwa afadhali, najua ilivyongumu kwako kwa kuwa unatumia waliyofikiri wenzio.
Yesu Kristo ni Mungu na sina shaka na hilo sasa sielewi unapoandika "...yule Mzungu" una maana gani
nazungumzia uwezo wa nguruwe kufikiri. sikujua kama kumfananisha nawe nakuwa nadhalilisha kitoweo,watanisamehe kutumia kitoweo kama mfano wa akili za misukule ninyi.

Hii ndio unaita akili?

Kweli makafiri mna laana.

View attachment 228706

View attachment 228707

View attachment 228708

Na hiki ndio kitoweo chenu kinakukonyeza!


View attachment 228709

View attachment 228710
 
Hapo ndio unapoona nguvu na ubabe wa Israel;Hana rafiki lakini anakaa kibabe na maadui na kila anaeleta za kuleta anatulizwa.Waarabu hawana hamu nae kabisa.Kuna uwezekano hawa Jamaa wamebarikiwa toka zamani na Mungu wao anawapigania.

Wakuu ni vizuri tukiacha ka uvivu. Ningependa mjiulize ni kwanini baadhi ya watu wa Ulaya wana chuki dhidi ya wayahudi (antisemitism), mnatakiwa kujiuliza ni kwanini wanazi waliwaua wayahudi wengi.

Nimebahatika kutembelea nchi za ulaya mashariki chuki dhidi ya wayahudi hadi leo hii ni kubwa, nilitaka kufukuzwa pub kutokana na kuuliza hilo.

Watu wa Ulaya wanaona kuwepo kwa Israel ni neema na baraka kutoka kwa Mungu, maana hakuna haja ya kuwaua tena wayahudi sasa wanaweza kwenda Israel, na kuna nchi iko tayari kuwalipia kwenda huko. Zamani mwaka 1945 hakukuwa na Israel.

Kuna member wengine hapa wanasema wakristo wana uhusiano mzuri na wayahudi. Huo sio ukweli, waisrael walio wengi ni wayahudi, na wanaofuata ni waislamu. Kiutamaduni na kihistoria na hata kidamu waisrael wako karibu sana na waarabu wa mashariki ya kati hasa wafilisti (wapalestina). Ukisikia mkristo anasema yuko karibu na muisrael basi ujue hajui anachoongea..au ni wale wanaofikiri Israel ni nchi ya kikristo.

All in all kuna umuhimu wa kumshukuru mungu kutokana na kuwepo kwa Israel.

Ni vizuri kwa Israel kuwa na mabomu ya nyuklia, busara inasema hivyo. Tayip Erdogan kuna wakati anakuwa chizi anaongea kuleta mitafaruku tu, hana substance. Israel siku zote inajilinda na haifanyi ubabe kwa nchi nyingine.
 
Back
Top Bottom