MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,006
- 2,165
Tukio hili nalilinganisha na jinsi mkuu wa Wilaya alivyo wachapa viboko waalimu huko Bukoba. Tofauti ni kwamba waalimu walichapwa kwa usimamizi wa askari. Huyu OCD ni kwa upuuzi wake tu maana kila mtu pale kituoni alikuwa chini ya amri yake. Alishindwa kutumia amri yake.
Najua ni matokeo ya kudhani wateule wote wako chini ya chama na siyo serikali. Lakini lazima IGP alinde heshima ya Jeshi kama Chama kilivyolinda heshima ya waalimu.
IGP yuko wapi au ndo ushemeji wa kipuuzi na kutojua thamani ya jeshi.
Najua ni matokeo ya kudhani wateule wote wako chini ya chama na siyo serikali. Lakini lazima IGP alinde heshima ya Jeshi kama Chama kilivyolinda heshima ya waalimu.
IGP yuko wapi au ndo ushemeji wa kipuuzi na kutojua thamani ya jeshi.