Habari wana JF.
Nina mdogo wangu ambae alikuwa anaishi na mpenzi wake kwa takriban 5 years, na mtoto walizaa pia. Wakati ulifika ambapo walitaka wahalalishe ndoa yao, lakini ghafla mwanaume akasitisha zoezi hilo akidai kuwa huyo mwanamke hakuwa na tabia nzuri, ingawa yeye (mwanamke) alidai kuwa alipata mwanamke mwingine. Walitengana na mwanaume alisema kuwa mkewe akajirekebishe tabia before they get married. Ajabu jamaa anaishi na mwanamke mwingine, tena a close friend wa mdogo wangu.
Huu ni mwaka wa 3, mdogo wangu kampata mchumba ambae anataka wafunge ndoa. Tatizo mwanaume alosema ana tabia mbaya hataki kumruhusu aolewe!Alishalipa mahari, sasa anaombwa arudishiwe mahari yake, jamaa hataki. Akiombwa hata tu walizungumzie hili suala anakwepa. Mshenga na wazee wamemsihi sana akubali kukaa chini na kutoa msimamo wake lakini jamaa kagoma.Mchumba wa sasa anampenda sana huyo dada ila anaogopa jamaa anaweza kuwafanyia kitu kibaya ukizingatia walishazaa mtoto na alishatoa mahari. My sister yuko ktk wakati mgumu sana, je inawezekana kumchukulia hatua za kisheria ili bwana huyu aridhie waachane for good tena peacefully?
Kuna habari toka kwa friends wake kuwa bado anampenda mdogo wangu na anadai hatoruhusu aolewe na mtu mwingine. Hebu nisaidieni ushauri hapa huyu binti afanyeje?
Asanteni.
Nina mdogo wangu ambae alikuwa anaishi na mpenzi wake kwa takriban 5 years, na mtoto walizaa pia. Wakati ulifika ambapo walitaka wahalalishe ndoa yao, lakini ghafla mwanaume akasitisha zoezi hilo akidai kuwa huyo mwanamke hakuwa na tabia nzuri, ingawa yeye (mwanamke) alidai kuwa alipata mwanamke mwingine. Walitengana na mwanaume alisema kuwa mkewe akajirekebishe tabia before they get married. Ajabu jamaa anaishi na mwanamke mwingine, tena a close friend wa mdogo wangu.
Huu ni mwaka wa 3, mdogo wangu kampata mchumba ambae anataka wafunge ndoa. Tatizo mwanaume alosema ana tabia mbaya hataki kumruhusu aolewe!Alishalipa mahari, sasa anaombwa arudishiwe mahari yake, jamaa hataki. Akiombwa hata tu walizungumzie hili suala anakwepa. Mshenga na wazee wamemsihi sana akubali kukaa chini na kutoa msimamo wake lakini jamaa kagoma.Mchumba wa sasa anampenda sana huyo dada ila anaogopa jamaa anaweza kuwafanyia kitu kibaya ukizingatia walishazaa mtoto na alishatoa mahari. My sister yuko ktk wakati mgumu sana, je inawezekana kumchukulia hatua za kisheria ili bwana huyu aridhie waachane for good tena peacefully?
Kuna habari toka kwa friends wake kuwa bado anampenda mdogo wangu na anadai hatoruhusu aolewe na mtu mwingine. Hebu nisaidieni ushauri hapa huyu binti afanyeje?
Asanteni.