DAWA YA SIKIO
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 979
- 180
Hili eneo ninaloishi liko mbele sana kwa ku 'export' vijana wasichana kwa wavulana kwenda kufanyakazi za ndani,mara nyingi Dar,Arusha na Moshi.
Kinachonishangaza baada ya muda fulani vijana hao wanaporudi pengine likizo au kuacha kazi,wasichana wengi huonekana kubadili lafudhi kufuata ya kule walikokuwa. Lakini mara chache kwa wavulana kuchenji lafudhi yao ya asili.
HIVYO NAOMBA KUJUZWA HILO LA KUBADILIKA LAFUDHI KWA NINI NI RAHISI KWA KINA DADA ?!
Kinachonishangaza baada ya muda fulani vijana hao wanaporudi pengine likizo au kuacha kazi,wasichana wengi huonekana kubadili lafudhi kufuata ya kule walikokuwa. Lakini mara chache kwa wavulana kuchenji lafudhi yao ya asili.
HIVYO NAOMBA KUJUZWA HILO LA KUBADILIKA LAFUDHI KWA NINI NI RAHISI KWA KINA DADA ?!