NICK2275
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 3,931
- 918
nyumba imekuwa na watu wengi sana-lazima kuwe na tofauti za kimawazo-then kama democracy hakuna-hata angefanyaje bado wananchi wangemkataaHelo wana jf,
hivi kwa nini walibya hawamtaki huyu raisi wakati amefanya makubwa?
Mfano;
1:anatoa elimu bure,tofauti na nchi nyingi za afrika
2:anatoa huduma ya afya bure,hii ni kitendawili kwa nchi nyingi afrika
3:ana wajengea nyumba wanaotaka kuoana,wenye miaka 21...
4:anatoa mshahara kwa wasio na kazi
5:anaendesha nchi kama nyumba yake,wanataka nini cha ziada? Au ni kusema hawajajua waafrika wenzao wanavyoteseka?
Ama hawajui viongozi wengi wa afrika ni mafisadi na watu wasio jali raia wa nchi wanazoziongoza? Ama hizi taarifa za vyombo vya habari ni za uongo,nawakilisha tujadili