Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Jamani kama kuna jambo linalonikera basi ni hii tabia ya kutumia majina ya viungo nyeti vya wanawake kutukana. Utakia mtu bila aibu mbele ya hadhara anamtukana mwenzie eti k.... mamako. Ajabu ni kwamba kuna wakati nilimsikia dada fulani akimtusi mvulana kwa tusi hilo hilo!! Hivi ni kwa nini tunawadharirisha mama zetu kiasi hiki!? Kwa kweli hii ni laana tena laana kubwa sana!