Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
Jamani hebu pata picha, nimetolewa kijijini nimeletwa mjini kuolewa na mtu ambaye hata sijawahi kumuona na simfahamu kabisa. Mtu huyu ni mlevi kupindukia, haachi matumizi nyumbani, tunadaiwa madeni chungu nzima. Pia nasikia eti huwa nasikia akilewa hujidondosha makusudi ili watoto wabaya wammpasulie mayai.
Jamani kwenye ndoa kama hii najaribu kujinasua lakini naitwa eti mi ni mpumbavu na ninaivunja nyumba yangu kwa mikono yangu mwenyewe. Huyu mwanaume hashauriki, na ukijaribu kumwelekeza naishia kupigwa na matusi juu. Kwanini yeye ndio asiitwe mpumbavu na aliyeivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe?
Naomba tujadili.
Jamani kwenye ndoa kama hii najaribu kujinasua lakini naitwa eti mi ni mpumbavu na ninaivunja nyumba yangu kwa mikono yangu mwenyewe. Huyu mwanaume hashauriki, na ukijaribu kumwelekeza naishia kupigwa na matusi juu. Kwanini yeye ndio asiitwe mpumbavu na aliyeivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe?
Naomba tujadili.