Kwa nini hata ndoa ikivunjwa na mwanamume lawama zinaenda kwa mwanamke?

Nazjaz

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
7,684
8,832
Jamani hebu pata picha, nimetolewa kijijini nimeletwa mjini kuolewa na mtu ambaye hata sijawahi kumuona na simfahamu kabisa. Mtu huyu ni mlevi kupindukia, haachi matumizi nyumbani, tunadaiwa madeni chungu nzima. Pia nasikia eti huwa nasikia akilewa hujidondosha makusudi ili watoto wabaya wammpasulie mayai.

Jamani kwenye ndoa kama hii najaribu kujinasua lakini naitwa eti mi ni mpumbavu na ninaivunja nyumba yangu kwa mikono yangu mwenyewe. Huyu mwanaume hashauriki, na ukijaribu kumwelekeza naishia kupigwa na matusi juu. Kwanini yeye ndio asiitwe mpumbavu na aliyeivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe?

Naomba tujadili.
 
Awali ya yote utaolewaje na mtu ambaye hujawahi kumuona na usiyemfahamu? Sasa kwa nini usiitwe mpumbavu kama ulikubali kufanya hivyo? Fikiria.
 
Awali ya yote utaolewaje na mtu ambaye hujawahi kumuona na usiyemfahamu? Sasa kwa nini usiitwe mpumbavu kama ulikubali kufanya hivyo? Fikiria.

Hivi we ndio yule ambrosi tuliye msoma kwenye kitabu cha hawala ya fedha tulipokuwa wadogo?
 
Hapo kuna utata kidogo
Wewe unakubalije kuuziwa mbuzi kweney gunia mtu humjui wala hujawahi kumuona unakubali tuu kupelekwa kama mbuzi machinjioni bana
Haiji wewe nafikiri ndo unatakiwa uitwe hilo jina
 
Jamani hebu pata picha, nimetolewa kijijini nimeletwa mjini kuolewa na mtu ambaye hata sijawahi kumuona na simfahamu kabisa. Mtu huyu ni mlevi kupindukia, haachi matumizi nyumbani, tunadaiwa madeni chungu nzima. Pia nasikia eti huwa nasikia akilewa hujidondosha makusudi ili watoto wabaya wammpasulie mayai.

Jamani kwenye ndoa kama hii najaribu kujinasua lakini naitwa eti mi ni mpumbavu na ninaivunja nyumba yangu kwa mikono yangu mwenyewe. Huyu mwanaume hashauriki, na ukijaribu kumwelekeza naishia kupigwa na matusi juu. Kwanini yeye ndio asiitwe mpumbavu na aliyeivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe?
Naomba tujadili.

Hebu jua kula na kipofu hujui?
Jifunze kula na kipofu kamwe nyumba hutoiona chungu na wala haitovunjika.
 
Hapo kuna utata kidogo <br />
Wewe unakubalije kuuziwa mbuzi kweney gunia mtu humjui wala hujawahi kumuona unakubali tuu kupelekwa kama mbuzi machinjioni bana <br />
Haiji wewe nafikiri ndo unatakiwa uitwe hilo jina

Vitu vingi vinavyopelekea mtu aolewe na mtu asiye mjua. Nazjaz suo wa kwanza, hali ngumu ya maisha jumlisha uelewa mdogo wa wazazi na binti mwenyewe ndivyo vinavyo pelekea hali kama hii kutokea
 
<br />
<br />
vitu vingi vinavyopelekea mtu aolewe na mtu asiye mjua. Nazjaz suo wa kwanza, hali ngumu ya maisha jumlisha uelewa mdogo wa wazazi na binti mwenyewe ndivyo vinavyo pelekea hali kama hii kutokea

Mkuu sawa nakubaliana na wewe kuwa kuna mambo yanachangia kwa binti kuolewa na mtu ambaye hamjui
Ila mkuu ukishakutana na hali kama hiyo kinachotakiwa ni wewe kucope na mazingira husika na mume uliyechaguliwa
Sidhani kama kuanzia asubuhi anakuwa emelewa
Amvizie asubuhi akiwa mzima na aeleze matatizo yake
 
Ndoa ni makubaliano ya Watu Wawili waliopendana na ambao wako tayari kuishi kwa Shida na Raha.
Kosa lako, hakukuwa na makubaliano na huyo mtu wako, na wala ulikuwa humjui, ulikurupushwa kijijini ukaja mjini ukapewa hilo jumba bovu ambalo linakuangukia sasa. kama ni kuishi kwa Shida basi hizo zimezidi.
Cha msingi hapo nakushauri UVUE GAMBA tu, kwa sababu yatakupata makubwa zaidi ya hayo, anaweza kukutia kilema kwa vipigo. Pole
 
Mkuu sawa nakubaliana na wewe kuwa kuna mambo yanachangia kwa binti kuolewa na mtu ambaye hamjui <br />
Ila mkuu ukishakutana na hali kama hiyo kinachotakiwa ni wewe kucope na mazingira husika na mume uliyechaguliwa <br />
Sidhani kama kuanzia asubuhi anakuwa emelewa <br />
Amvizie asubuhi akiwa mzima na aeleze matatizo yake
<br />
<br />
mkuu umesema acope sasa kwa hiyo itabidi nae aanze kula kitungi ili waende sawa..

kuhusu mambo kama haya yakitokea inabidi uwe mvumilivu na mwenye subiri na isitoshe chumba inawezekana mshua kala kodi kwa hiyo taraka haina nafasi..
 
Yaani mpaka leo kuna wabongo wanaolewa bila kujua nani anayemuoa? Au kwa sababu uliambiwa unakwenda kuishi mjini? Ha ha ha, MOD tunaomba uturuhusu tumchape vibao kwa kudhalilisha wanawake wenzake
 
<br />
<br />
mkuu umesema acope sasa kwa hiyo itabidi nae aanze kula kitungi ili waende sawa..

kuhusu mambo kama haya yakitokea inabidi uwe mvumilivu na mwenye subiri na isitoshe chumba inawezekana mshua kala kodi kwa hiyo taraka haina nafasi..

Mkuu sikumaanisha acope na yeye aaanze kupiga tungi ila acope kwa kuyakubali mazingira alimojikuta maana yameshakuwa hayo hana ujanja na ameshakubali kuwa huyo ndie mume wake na mahari ishapokelewa
 
<b><font color="#008000">Ndoa ni makubaliano ya Watu Wawili waliopendana na ambao wako tayari kuishi kwa Shida na Raha.<br />
Kosa lako, hakukuwa na makubaliano na huyo mtu wako, na wala ulikuwa humjui, ulikurupushwa kijijini ukaja mjini ukapewa hilo jumba bovu ambalo linakuangukia sasa. kama ni kuishi kwa Shida basi hizo zimezidi.<br />
Cha msingi hapo nakushauri UVUE GAMBA tu, kwa sababu yatakupata makubwa zaidi ya hayo, anaweza kukutia kilema kwa vipigo. Pole<br />
</font></b>
<br />
<br />
sasa inaonekana hata kwao hawamuelewi ndio maana iko hivyo..

ushauri mwingine aanze kupiga mazoezi ya kareti ili jamaa akianzisha songombingo anatulizwa kiulaini..
 
Jamani hebu pata picha, nimetolewa kijijini nimeletwa mjini kuolewa na mtu ambaye hata sijawahi kumuona na simfahamu kabisa. Mtu huyu ni mlevi kupindukia, haachi matumizi nyumbani, tunadaiwa madeni chungu nzima. Pia nasikia eti huwa nasikia akilewa hujidondosha makusudi ili watoto wabaya wammpasulie mayai.

Jamani kwenye ndoa kama hii najaribu kujinasua lakini naitwa eti mi ni mpumbavu na ninaivunja nyumba yangu kwa mikono yangu mwenyewe. Huyu mwanaume hashauriki, na ukijaribu kumwelekeza naishia kupigwa na matusi juu. Kwanini yeye ndio asiitwe mpumbavu na aliyeivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe?

Naomba tujadili.
Hapo Inabidi urudi kwa yule aliyekutoa kijijini kwenu kukupeleka kwa huyo mwanaume umwambie mzigo aliokutwisha umekushinda.
 
Jamani hebu pata picha, nimetolewa kijijini nimeletwa mjini kuolewa na mtu ambaye hata sijawahi kumuona na simfahamu kabisa. Mtu huyu ni mlevi kupindukia, haachi matumizi nyumbani, tunadaiwa madeni chungu nzima. Pia nasikia eti huwa nasikia akilewa hujidondosha makusudi ili watoto wabaya wammpasulie mayai.

Jamani kwenye ndoa kama hii najaribu kujinasua lakini naitwa eti mi ni mpumbavu na ninaivunja nyumba yangu kwa mikono yangu mwenyewe. Huyu mwanaume hashauriki, na ukijaribu kumwelekeza naishia kupigwa na matusi juu. Kwanini yeye ndio asiitwe mpumbavu na aliyeivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe?

Naomba tujadili.
raha ya mlevi kubali mabaya yake yote yawe yako! umekubali kuja mjini kutka kijijini kwenu kumjia mlevi,, pata raha yake na ukifurukuta tu WE MBAAAAAAAAAAYA!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom