Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
tunapoelekea mwanzo wa mwisho wa kampeni za uchaguzi huko jimboni arumeru nimeshangazwa na kitendo cha wanahabari na taasisi mbalimbali kushindwa kuandaa mdahalo wa wagombea mpaka sasa.thamani au haki ya watu wa arumeru iko wapi?je tatizo ni pesa?
Rosemary mwakitwange and co hebu fikirieni hili au toeni sababu za kutofika arumeru tuwaelewe.
Rosemary mwakitwange and co hebu fikirieni hili au toeni sababu za kutofika arumeru tuwaelewe.