sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
Naomba mchango yakinifu....nilishuhudia msafara wa rais hivi karibuni....huwa unatanguliwa na pikipiki...halafu gari ya polisi kama mbili hivi ambazo zinapeana distance kubwa.....baada ya hapo huwa kuna gari fulani aina ya bmw ambazo zinaambatana na gari alilopanda rais...cha ajabu gari hizo huwa zinahama kutoka lane moja hadi nyingine zikiwa na lengo la kui-sandwich ile gari aliyopanda rais huku wakiwa katika 80kph.
Nina shaka na manouvres hizo wanazofanya madereva huenda ni hatari kwa usalama wa mkuu wa nchi.....je wale madereva wana uzoefu gani? Ni madereva wa jeshi? Maswala haya ya usalama barabarani ni muhimu sana kujadiliwa...
Je ni salama kwa rais kukaa kiti cha mbele akiwa anasafiri na gari kwenda lets say morogoro?naomba mtazamo
Nina shaka na manouvres hizo wanazofanya madereva huenda ni hatari kwa usalama wa mkuu wa nchi.....je wale madereva wana uzoefu gani? Ni madereva wa jeshi? Maswala haya ya usalama barabarani ni muhimu sana kujadiliwa...
Je ni salama kwa rais kukaa kiti cha mbele akiwa anasafiri na gari kwenda lets say morogoro?naomba mtazamo