fige
JF-Expert Member
- Jul 4, 2010
- 376
- 61
Fige,
Umaskini wa akili kitu mbaya sana. Wanaoshangilia wengi ni wale ambao kuanzia kibiriti hadi chumvi ni vya kugongea kwa jirani. Taratibu wanarubuniwa kuwa serikali haina wajibu wowote kwao.
Walianza kukamuliwa kwa kuchangishwa michango ya lazima eti kujenga shule za kata ambazo ni za serikali hadi pale wizi wa richmond ulipostukiwa, jukumu la serikali ni nini? Sasa hivi wanalazimishwa kukesha kwenye patrol na mapolisi eti ulinzi shirikishi.
Hivi serikali kama haiwezi kusimamia majukumu yake muhimu kama ya usalama wa raia wake, tuna haja gani ya kuwa na hiyo serikali?
Ndugu yangu gagnija nashukuru kwa utambuzi wako