Kwa nini EATV na EAradio hawapigi nyimbo za Diamond

Copy1

Member
Feb 10, 2016
96
143
Nilimsikia Ruge akihojiwa na Salama kwenye mkasi, akasema kuna kituo kimija cha redio hakipigi nyimbo za msanii fulani kwa miaka miwili sasa!!

Baadae nikaanza kusikia minong'ono mitaani na mitandaoni kuwa huyo msanii ni Diamond
Nikaamua kufualitilia,ambapo kila nikipata wasaa wa kuangalia TV(japo siyo mara nyingi) lakini kwa mara zote nilizoangalia playlist ya nyimbo zinzopigwa EATV na EA Radio, sioni nyimbo za Diamond, ukijitahid basi utaona wa AY na Dimodn Zigo lakini si nyingine, hata huo pia haupigwi kama ambavyo unastahili, sababu can u imagine haupo kwenye top 5 au 10 yeyeote ile ya ya EATV

Swali: Haka kajamaa kaliwakosea nini hawa watu?? na Je hawaoni kama wanapoteza tu baadhi ya mashabiki, sababu haka kajamaa kamefika levo ambayo hata ukikabania ndani kanatusua tu
 
Kwanini usiwaulize EATV au diamond maana wao watakuwa na majibu
 
Mara ya mwisho walizipiga kipindi kile cha show ya tigo na hiyo walikuwa hawana namna kwani walilipwa na tigo waifanyie promo ile show.
 
Utanunua vitu ambavyo havipo dukan?

Nambie wapi wanauza CD na DVD origino za nyimbo za Diamond?
Diamond Forever ilitolewa original dvd,na ilisambazwa na steps.
Kama huijui ata hii,huu uzi utakuwa umeuleta kimajungu,rudi kwa boss ruge mwambie akulipe ushapost
 
Nadhani mwaka jana au juzi diamond alipiga show kwenye bday party ya K Lyn aka muke ya Boss sasa inakuaje anabaniwa na EAtv and Radio nakua sielewiii.
 
!
!
Hii uzi imekaa kimajungu zaidi. Hakuna ukweli wowote hapa. Mimi ni muangaliaji wa eatv na huwa naziona huko. Na huwa nakumbuka kwa sababu huwa inanifanya nibadili chaneli.
 
Nadhani mwaka jana au juzi diamond alipiga show kwenye bday party ya K Lyn aka muke ya Boss sasa inakuaje anabaniwa na EAtv and Radio nakua sielewiii.

Sina inside infos
but niliwahi sikia Mengi huwa anataka wasanii wa bongofleva kuimba bure
kwenye tukio lake la kula na walemavu
ukikataa ku perfom bure event hiyo anaku block kwenye vituo vyake
sijui ukweli wa hiii taarifa nimesikia na Ray C pia alishawahi kupigwa ban pia
 
Back
Top Bottom