TEMPOLALE
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 302
- 107
......Huby and I........ Huby son and I......... Huby at airport waiting flight..........Mambo ya Mange haya! haya changieni mi mpitaji tu! sijui my hubby , my baby....my my kibaoooo!
......Huby and I........ Huby son and I......... Huby at airport waiting flight..........Mambo ya Mange haya! haya changieni mi mpitaji tu! sijui my hubby , my baby....my my kibaoooo!
Wanyimi kweli.Wapi umeona kaka wa kiswahili ameoa muhindi nambie
Katika mahusiano ya kudumu.ukisema pair unamaanisha waliooana kabisa? kama sivyo mbona mhindi na mswahili zipo sana shida hawawezi kufunga ndoa
mjapan na mswahili je?
Dadako atakuwa si haba.Mhindi! na mswahili ninao, hata dada angu yuko na mhindi wana watoto wawili
Hapo ngoma droooWachaga na wahaya je?
mkuu kweli hao wapo,ila wachache sana,inawezkana mia kwa mmoja!na imeanza karbuni hasa kwa wahindi vs waswahili
Kuna watz wengi tu aishio japan wameoa na kuolewa na wajapan...