Haya ni matokeo ya kutokuwa na amani.
Hata Tz tukichezea amani yetu tutafika huko.
Ndiyo sababu waungwana wanawaelimisha CDM waache kuchezea amani tuliyonayo. Hope wataelewa kuwa wanachezea moto.
Wazalendo wa kweli tuendelee kuitunza amani yetu kwa gharama yeyote ile, tukiipoteza itakuwa ni vigumu sana kuirejesha.
Haya ni matokeo ya kutokuwa na amani.
Hata Tz tukichezea amani yetu tutafika huko.
Ndiyo sababu waungwana wanawaelimisha CDM waache kuchezea amani tuliyonayo. Hope wataelewa kuwa wanachezea moto.
Wazalendo wa kweli tuendelee kuitunza amani yetu kwa gharama yeyote ile, tukiipoteza itakuwa ni vigumu sana kuirejesha.