Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
Katika vitu ambavyo vingeweza kuidhoofisha CCM na kuiondolea uhalali mbele ya wananchi ni suala la Umeme Usiokidhi Mahitaji hususan Mgao huu mkali wa umeme unaoendelea nchini, lakini cha ajabu ni kwamba Chama kikuu cha Upinzani CDM kimeshindwa kuonyesha leadership katika kuwapa wananchi platform ya kupiga kelele kali juu ya suala hili angalau tunaona chama cha CUF kimeiona hii opportunity lakini nao hawajaitumia ipasavyo, Mgao unaoendelea nchini ni mtaji mkubwa sana wa kisiasa kwa chama kinachofanya siasa, CDM mbona hamuichukui hii nafasi vyema?, nikimaanisha CHADEMA MAANDAMANO YA KUPINGA MGAO WA UMEME YAKO WAPI?