Kwa nini CCM inaogopa Tanzania kuwa na tume huru, kupunguza madaraka ya rais?

Magobe T

JF-Expert Member
Mar 19, 2008
4,621
2,567
Katika mjadala wa bunge unaoendelea kuhusu muswada wa mchakato wa Katiba Mpya, ni dhahiri kuwa wabunge wa CCM wanaogopa kama kutaundwa tume huru ya kukusanya maoni. Tume huru maana yake - yenye uwakilishi mzuri wa wadau mbalimbali na isiyoweza kuegemea upande mmoja ili kusiwepo malalamiko kila mara katika nchi yetu. Pili, wanaogopa rais kupunguziwa madaraka, ambayo wadau mbalimbali wametaka yafanyike.

Katika mambo ya msingi ambayo wadau mbalimbali wamesema yafanyiwe marekebisho lakini serikali imekataa na kusema yabaki vilevile. Huku kukataa maoni ya wananchi kutoka vikundi mbalimbali vya kijamii, wasomi, wanasheria na wananchi kuna agenda ya siri.

Kwa maoni yangu, naona CCM wanaona kukiwa na tume huru chama chao kitaanguka na hivyo hawataki kiachie ngazi!
 
Katika mjadala wa bunge unaoendelea kuhusu muswada wa mchakato wa Katiba Mpya, ni dhahiri kuwa wabunge wa CCM wanaogopa kama kutaundwa tume huru ya kukusanya maoni. Tume huru maana yake - yenye uwakilishi mzuri wa wadau mbalimbali na isiyoweza kuegemea upande mmoja ili kusiwepo malalamiko kila mara katika nchi yetu. Pili, wanaogopa rais kupunguziwa madaraka, ambayo wadau mbalimbali wametaka yafanyike.

Katika mambo ya msingi ambayo wadau mbalimbali wamesema yafanyiwe marekebisho lakini serikali imekataa na kusema yabaki vilevile. Huku kukataa maoni ya wananchi kutoka vikundi mbalimbali vya kijamii, wasomi, wanasheria na wananchi kuna agenda ya siri.

Kwa maoni yangu, naona CCM wanaona kukiwa na tume huru chama chao kitaanguka na hivyo hawataki kiachie ngazi!

Ningependa nieleweshwe ni jinsi gani hii tume huru itapatikana Tanzania.kama rais asipoiteua itaenda bungeni idadi ya wanaccm huko wapinzani watasusa,nani anayeaminika apewe hiyo kazi?
 
Katika mjadala wa bunge unaoendelea kuhusu muswada wa mchakato wa Katiba Mpya, ni dhahiri kuwa wabunge wa CCM wanaogopa kama kutaundwa tume huru ya kukusanya maoni. Tume huru maana yake - yenye uwakilishi mzuri wa wadau mbalimbali na isiyoweza kuegemea upande mmoja ili kusiwepo malalamiko kila mara katika nchi yetu. Pili, wanaogopa rais kupunguziwa madaraka, ambayo wadau mbalimbali wametaka yafanyike.

Katika mambo ya msingi ambayo wadau mbalimbali wamesema yafanyiwe marekebisho lakini serikali imekataa na kusema yabaki vilevile. Huku kukataa maoni ya wananchi kutoka vikundi mbalimbali vya kijamii, wasomi, wanasheria na wananchi kuna agenda ya siri.

Kwa maoni yangu, naona CCM wanaona kukiwa na tume huru chama chao kitaanguka na hivyo hawataki kiachie ngazi!

ni dhana tu broda... kila uchaguzi ukifanya kuna international observers na watatoa +ve reports .. sijui mnataka nini cha ziada... Bado sijaona chama mbadala cha kushika madaraka esp. CDM ndio kabisaa! udini, ukabila , vurugu , mbunge mmoja wa cdm anashinda facebook akitoa updates siku ya kuzindua ile album yao chafu!...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom