Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
Kazi kubwa ya Bunge ni kusimamia serikali, kuhakikisha serikali inafanya inachopaswa, na serikali inapokosea kuihoji na kuiwajibisha. Serikali inafanya kazi siku zote, je kwa nini chombo kilichoundwa kuisimamia kinafanya kazi "part time"? Kuna sababu yoyote iliyopekea hali hii?