The dirt paka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 371
- 66
kwa nini baadhi ya wanawake wanatabia ya kurusha maneno ya kukashifu,kudharau au kukejeli pale wanapoomba kitu kwa wapenzi wao na kukikosa?
Utasikia mwanaume gani huna hela,mwanaume ndevu mara mwanaume suruali. Kwa nin wanafanya hivi?
Ila wakipata wakitakacho majina kama Baby,sweetie,my love my darling hua hayaishi.
Nawasilisha.
hapo huwa sioni haja yakujibu wala kuendelea nae. Na hii humfanya mwanaume atafute kipoozeo nje kitakachomfariji na kumshauri how to get money au kupanua wigo wakuaccumulate cash anazamia hukohuko. Kimsingi huko kitchen party na kwamwanamke anayejua kuwapesa huhitajika katika daily life ajifunze productive knowledge at family or love relations ili mumewe apate njia mbadala zakupata pesa si kutukanana mi ni bora nikuachie nyumba kuliko kuvumila matusi iwe vs na kwa wanaume tujifunze hili na hakuna kujishusha jinsia yoyote katka matusi haya.