Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
kwa nini baadhi ya wanawake wanatabia ya kurusha maneno ya kukashifu,kudharau au kukejeli pale wanapoomba kitu kwa wapenzi wao na kukikosa?
Utasikia mwanaume gani huna hela,mwanaume ndevu mara mwanaume suruali. Kwa nin wanafanya hivi?
Ila wakipata wakitakacho majina kama Baby,sweetie,my love my darling hua hayaishi.
Nawasilisha.
Utasikia mwanaume gani huna hela,mwanaume ndevu mara mwanaume suruali. Kwa nin wanafanya hivi?
Ila wakipata wakitakacho majina kama Baby,sweetie,my love my darling hua hayaishi.
Nawasilisha.