kwa ujanja wangu wa mambo ya simu mi ndo umeishia hapo...labda wengine watakuja kutujuza!!Zote zimekuwa zikigoma. Simu inaruhusu Java lakini nikiweka aplication za Java naambiwa "file format not supported". Hata sijui tatizo ni nini?
Naomba kujua, kwa nini ki-download application ambazo, kwa mujibu wa maelezo ni kwa ajili ya simu fulani kwa mfano Nokia E61i au S06v3, zinagoma ku-install au naambiwa "not compactible". Naomba msaada wenu.
AMANI IWE NASI.
Me mydarling nokia5130,inaniambia no certificate found on sim or phone,yan nakosa raha coz naipenda sana hii simu,of all the vimeo,coz net ni faster..but ndo hivyo kudownload siwezi.
Me mydarling nokia5130,inaniambia no certificate found on sim or phone,yan nakosa raha coz naipenda sana hii simu,of all the vimeo,coz net ni faster..but ndo hivyo kudownload siwezi.
umewahi kuiformat?
JAMANI EBU TUELIMISHANE KIDOGO.
¤ kuna Application zinatengenezwa kwa ajili ya Simu Fulani pekee. Mfano iphone applictn kwa ajili ya Iphone na zingine
¤Huwezi kulazimisha application za exe au Cat kwenye symbian fn yako lazima zitagoma
¤Pia kuna Application za Symbian kwa ajili ya Simu Maalum tu. Mfano Whatsapp ina format ya sis au sisx lakini inaweza kukataa kwenye simu fulani fulani.na inakuandikia incompatible, kwahiyo usilazimishe Tafuta usitaarabu mwingine wa kununua simu yenye uwezo mkubwa zaidi ya hiyo.
¤Usidanganywe Na website zinazo-detect phone model yako na kukuletea Application zake si zote zitakubali maana hawapo perfect kihiivyo
Me mydarling nokia5130,inaniambia no certificate found on sim or phone,yan nakosa raha coz naipenda sana hii simu,of all the vimeo,coz net ni faster..but ndo hivyo kudownload siwezi.
Zote zimekuwa zikigoma. Simu inaruhusu Java lakini nikiweka aplication za Java naambiwa "file format not supported". Hata sijui tatizo ni nini?