Kwa nini agakhan hospital mnangngania operation??dk shaffii una deal gani na operatio

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,720
21,779
Wataalam wa hospital
embu tupen sababu za hawa watu kungangania kila mtu kumpitishia wembe tumboni mwao jamani?
hawa watu kila mtu ukienda wakiona unawasumbua kidogo tu dk atakaepita anaandika piga wembe huyo...nikiwa huko wiki iliopita si mnajua mambo ya kuwekwa chumba kimoja vitanda kadhaa tukakuta mwenzetu analalamika wanaenda kumpiga wembe wakati yuko sawa nilipofika nikakuta mumewe analalama hilo.....,ehh majuzi naendanakuta mgonjwa wetu nae wamemuandikia operation mama mzazi akawachomolea...leo mtoto wa kike akiwa na full smile amekuja duniani na FULL SHANGWE sifa kwa bwana so najiuliza wapendwa hivi viwembe ama operation yawezekana kuna wengi mmefanyiwa ama mnatarajiwa kufanyiwa hili wakati aujatakiwa ama kuwa na hali inayotakiwa kufanyiwa operation

kama kuna msemaji wa aghakhan tusaidien jamani...dk shafii kunani huko???
 
operation pays zaidi ya kujifungua kawaida,hapendwi mtu inamaana hujui hilo biashara hiyo wenzio wanatafuta pesa,na usipokuwa makini unapiwa kiwembe tu watakula polisi?habari ndio hiyo
 
operation pays zaidi ya kujifungua kawaida,hapendwi mtu inamaana hujui hilo biashara hiyo wenzio wanatafuta pesa,na usipokuwa makini unapiwa kiwembe tu watakula polisi?habari ndio hiyo

kwa hiyo wameamua kuchakachua profession ya udaktari siyo??????? eeee bwana eeee.
 
Ili linanigusa mwenzenu, siwezi kusahau nilivyolazimishiwa operesheni.
kweli madaktari wetu wameweka pesa mbele kuliko taaluma yao. Na ndio mtindo wa kisasa kwenye hospital nyingi za binafsi!
 
kwa hiyo wameamua kuchakachua profession ya udaktari siyo??????? eeee bwana eeee.


yani TANZANIA kila kitu ni kuchakachuliwa leo hii wana MABOSI WA EWURA WANA MSHARA KARIBU KILA SHELL ZA MAFUTA TUTAFIKA KWELI LOH...SWABNAH WA TAALA
 
yaani nyie acheni tu, eti wakaniambia mtoto wangu atakufa, wakati katika historia yangu ujauzito wangu sikuwa na tatizo lolote
 
ili linanigusa mwenzenu, siwezi kusahau nilivyolazimishiwa operesheni.
Kweli madaktari wetu wameweka pesa mbele kuliko taaluma yao. Na ndio mtindo wa kisasa kwenye hospital nyingi za binafsi!

wanasisitiza hari mpya na nguvu mpya watu weweeeeeeeee........huku nje mapresha yanawapanda watu huku mtu anafurahia shekeli baada ya kukupiga kisu aisee na cha kuumiza naambiwa zile ni cash cash 50 percent umemaliza operation mwenzio anaelekea dirishan kuchukua chake wakati wewe unepelekwa ama icu ama chumbachako cha mapumziko sasa nimeamini kwa nini madaktari wa muhimbili wengi wanakwambia njo hospit fulan ntakusaidia haraka ...loh sitosahau kuna dk mmoja aliniambia mwananngu ana tangtang ..akanielekeza kwa dk mwenzake nilipoenda uwezi amini alikuwa muwazi akasema hii oper ndogo sifanyagi hapa muhimbili..niliponyesha dalili ya kuondoka akasema ok njo siku fulan akufika nikaambiwa nije siku nyingine ....loh alikuwepo aksema njoo mchana pale aghakhan tumalize nikamwambia loh sh ngapi ninazo nije aghakhan akasema sio nyingi sana kama laki mbili...wapendwa nikiwa natoka nikamwambia ahsante kama mungu amepanga atafanyiwa tu akamuita mke wangu akampa siku ya kuja..nikamwambia hny sitokanyaga kwa huyo dk kabisa hata akimfanyia anaweza kumuumiza nikiwa njian mtu mmoja akanipa namba ya prof massawe wapendwa nikamfwata kesho kyake akamwangalia akaamshika na kumchezea pale morcco kama mdoli na kusema nani amekuandikia hiyo...mbonamttot hana hiyo kitu ..nipe mwezi 1 na nusu wapendwa mtoto anaongea baba kama ana akili nzuri so unaweza jua hawa ma dk wengine wamekimbilia fan kwa ajili ya shida na sio wito...mungu awarehemu kabisa
 
Angalizo: sasa wizi wa viungo ni popular duniani, isije ikawa mama zetu wanatoka hospital na figo moja.
 
Kuna hosp ni kweli wanalazimisha hizo siza. ila pia mabinti wa siku hizi wengi hawapendi kujifungua kikawaida, eti ni RISK............. utakuta mtu mzima na afya yake anaomba siza. Wengine eti wanaogopa uchungu (sijui kuna mtu aliwahi kufa kwa uchungu?)..... mi huwa nashindwa kuelewa.
 
yani hata mimi nawashangaa sana hawa ma doct wa aghakhan,tena usipokuwa makini unaweza ukafia pale,hata ukizaa kawaida hawako serius na kazi zao,nina rafiki yangu alijifungua hapo kipindi cha nyuma kama miezi mitatu imepita wakaacha kumsafisha vizuri basi weeeeeeeeee ilikuwa ni mungu tu maana damu ilimwgika mpaka basi:hand::hand::hand::hand::hand::hand::hand::hand::hand::hand:
 
Ni kweli ni whuni. Mimi nilienda pale nikiwa na tatizo la jino walifanya usanii mwingi sana. Baada ya kuuliza nikaambiwa hizo ndo zao hasa wakigundua kuwa unalipiwa na hizi bima za Afya kama AAR, NHIF n.k. Tuwe makini wanawani.

Mimi mywife wangu nilimkimbizia Fast Track MNH akajifungua mtoto wa kiume salama. Na namshukuru mungu kwani anaendelea vizuri.
 
Ndo maana mimi najipendea hospitali za serikali, ni kuzijulia tu. muda ukikaribia, unamkamatisha nesi 1 elfu kumi.............. yaani hata ukijigeuza tu ameshakusogelea kukuuliza kama uko ok
 
Ndo maana mimi najipendea hospitali za serikali, ni kuzijulia tu. muda ukikaribia, unamkamatisha nesi 1 elfu kumi.............. yaani hata ukijigeuza tu ameshakusogelea kukuuliza kama uko ok
Hii aibu kabisa kuiandika hapa. Yaani umezoea rushwa mpaka unakosa hata haya na unashauri wengine pia. Nilidhani ungeshauri namna ya kushughulikia tatizo kuliko kuliongeza. Hizi ndio mentality za mabadiliko???
 
so far aga khan hospital ndio hospital bora zaidi kwangu! nimejifungulia hapo, care nzuri, mtoto care safi kuliko nilipojifungulia Muhimbili Fast Track! wale watu hovyo sana vyumba vikijaa wankupeleka wodi ya kawaida huko....yaani its hard kutofautisha huduma ya fast track na ya kawaida hasa ukijifungua kawaida!

Kuhusu KISU UKWELI NI KWAMBA WAKE ZENU WAKIENDA CLINIC HUWA WANAOMBA HIZO SIZA KWA HAO MADOKTA! :shock:wasiwasingizie! mi nilikuwa na previous scar lakini dokta wa aga khan akanishauri nizae kawaida tu maana ni scar ya muda mrefu haina madhara! si lazima niende kwenye CS, IT WAS ME NILIMNG'ANG'ANIA ANIFANYIE SIZA. baba wa watu alikuwa ana prefer kawaida...along with me marafiki zangu 2 niliojifungua nao mmoja kwa shafiq wote waliomba CS....

Madokta wa watoto no wazuri sana tu, sijawahi kukaa foleni ya masaa mengi sana pale nikiwa na mtoto mchana wala asubuhi! ila kama umeenda usiku emergence pale usiku tegemea hayo.....nashangaaga sana watu wanapenda kuiponda aga khan sijui ni dhamira zipi zinawasukuma kufanya hivyo!

mix with yours
 
...Da Kapwani, Inaonyesha we ni Mdau hapo..!!:)
BabaDesi mi ni client wa kawaida kabisa ninasema kile nilichokiona, nilichokifanya na nilichofanyiwa.....sina haja ya kuwapendelea! ila ni vema nikasimamia ninachoamini......

mix with yours
 
Wataalam wa hospital
embu tupen sababu za hawa watu kungangania kila mtu kumpitishia wembe tumboni mwao jamani?
hawa watu kila mtu ukienda wakiona unawasumbua kidogo tu dk atakaepita anaandika piga wembe huyo...nikiwa huko wiki iliopita si mnajua mambo ya kuwekwa chumba kimoja vitanda kadhaa tukakuta mwenzetu analalamika wanaenda kumpiga wembe wakati yuko sawa nilipofika nikakuta mumewe analalama hilo.....,ehh majuzi naendanakuta mgonjwa wetu nae wamemuandikia operation mama mzazi akawachomolea...leo mtoto wa kike akiwa na full smile amekuja duniani na FULL SHANGWE sifa kwa bwana so najiuliza wapendwa hivi viwembe ama operation yawezekana kuna wengi mmefanyiwa ama mnatarajiwa kufanyiwa hili wakati aujatakiwa ama kuwa na hali inayotakiwa kufanyiwa operation

kama kuna msemaji wa aghakhan tusaidien jamani...dk shafii kunani huko???
Umenifumbua ina maana yawezekana wife wangu 4yrs ago hakupaswa kupigwa kiwembe?nawezaje kutengeneza hii ikawa jinai?
 
Back
Top Bottom