Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
......na kama kitandani unashika #0 unategemea nini!!?....kibuti ofcourse.Unakuta mwanaume anajitahidi kumjali msichana wake kwa kila hali,kuanzia pesa nk,bt mwisho wa cku unaishia kwa mwanaume kulambwa kibuti kitakatifu..jaman wadada,mtuonee huruma.
Unakuta mwanaume anajitahidi kumjali msichana wake kwa kila hali,kuanzia pesa nk,bt mwisho wa cku unaishia kwa mwanaume kulambwa kibuti kitakatifu..jaman wadada,mtuonee huruma.
Kama hujionei huruma mwenyewe nani akuone? ebu ukika na wanaume wenzio fanya kama vile mnaongea maongezi yakawaida waulize mwanamke anatulizwa na nini? pesa, mapenzi, nyama ya ulimi,au mambo ya chumbani? utapata jibu halafu lifanyie kazi ujue wapi unakosea.Unakuta mwanaume anajitahidi kumjali msichana wake kwa kila hali,kuanzia pesa nk,bt mwisho wa cku unaishia kwa mwanaume kulambwa kibuti kitakatifu..jaman wadada,mtuonee huruma.
Unakuta mwanaume anajitahidi kumjali msichana wake kwa kila hali,kuanzia pesa nk,bt mwisho wa cku unaishia kwa mwanaume kulambwa kibuti kitakatifu..jaman wadada,mtuonee huruma.
Vipi, uliwahi kupima spidi uliyoanza nayo katika huko kumjali na kugundua ilivyokuwa ikipungua?
Was it a steady speed or otherwise? Huenda hiyo nayo ikawa hoja.
Ndio shida ya kutumia pesa kama ngao.