"Presidence is an is an instuite"
kwa kaelim kangu kadogo nilivyo fundishwa na nilipo changanya na za kwangu kwamba presidence is an instuite japo head wake ni president
msingi wa swali alangu kwa kuwa presidence ni instuite tena inayo jitegemea kwa maana hata descion inatoka kwa mfumo huo lengo nikitaka kusema kikwete anafanya kazi na washauri na nimewahi kusikia washauri wake wengi ni ma pro na walimu kutoka chuo kikuu UDSM na UDOM katika kuingoza nchii na washauri wa uchumi sasa hawa mbna hawanyoshewi vidole kwa kumshauri president vibaya na nikasikia pro Lipumba alikuwa mshauri wa uchumi kipindi cha mh ruksa? Basi na prof ana kila sababu ya kuulizwa kwa nin tanzania ni masikini any way
greater thinkerr hilii limekaaje?
kwa kaelim kangu kadogo nilivyo fundishwa na nilipo changanya na za kwangu kwamba presidence is an instuite japo head wake ni president
msingi wa swali alangu kwa kuwa presidence ni instuite tena inayo jitegemea kwa maana hata descion inatoka kwa mfumo huo lengo nikitaka kusema kikwete anafanya kazi na washauri na nimewahi kusikia washauri wake wengi ni ma pro na walimu kutoka chuo kikuu UDSM na UDOM katika kuingoza nchii na washauri wa uchumi sasa hawa mbna hawanyoshewi vidole kwa kumshauri president vibaya na nikasikia pro Lipumba alikuwa mshauri wa uchumi kipindi cha mh ruksa? Basi na prof ana kila sababu ya kuulizwa kwa nin tanzania ni masikini any way
greater thinkerr hilii limekaaje?