Kwa ndugu zangu wasambaa na wazigua, Lushoto jamani kuzuri ehhhh

Kwa kweli mkuu nimechoka sasa kukaa "nyika" na umri ndio unaingia jioni. Natamani sana kurudi nakuweka kambi Shambalai na kujikita na biashara ya utalii (ambayo kwa kweli siijui) na nafanya utafiti nifanyeje.
Kuna umuhimu wa kurudi nyumbani! Wanyika wanaiharibu Lushoto
 
Naomba kuweka kumbukumbu sahihi Lushoto kuna Wasambaa wanguu na Wambugu
Wazigua wako Handeni
Naomba kukukosoa, Wasambaa ni mchanganyiko wa makabila mengi, wazigua, wakamba, wambugu, wapare, wachaga,
Wabondei ni wasambaa waliotokea milimani baada ya kuvunja mila wakafukuzwa, yaani dada wa kisambaa alizini na kaka yake wa damu toka nitoke wakafukuzwa na wazee wa kimila kwa kuambiwa "HITAI MKABONDEEANE UKO" na ndo source ya kuitwa wabondei
 
Naomba kukukosoa, Wasambaa ni mchanganyiko wa makabila mengi, wazigua, wakamba, wambugu, wapare, wachaga,
Wabondei ni wasambaa waliotokea milimani baada ya kuvunja mila wakafukuzwa, yaani dada wa kisambaa alizini na kaka yake wa damu toka nitoke wakafukuzwa na wazee wa kimila kwa kuambiwa "HITAI MKABONDEEANE UKO" na ndo source ya kuitwa wabondei
Nimeongeza kitu hapa hongea sana osie
 
Kuna umuhimu wa kurudi nyumbani! Wanyika wanaiharibu Lushoto
Hasa nikimfikiria yule Achimwene pale Mkuzi napata hisia kuwa atatuletea kasumba ya kiburi na roho ya uchoyo kama tutaruhusu Vijana wetu wajifunze toka kwake.
Siku moja nilisimama pale hotel ya Muller jirani na kwake kupumzika kidogo, nikawauliza wafanyakazi vipi huyu jirani yenu? Majibu yalionyesha hana ushirikiano
 
mimi nilisoma tosamaganga iringa, naijua kitonga sana, huwezi hata kidogo kuilinganisha na barabara inayotokea mombo kwenda soni, km huamini fanya safari moja ndo utajionea mwenyewe.

kile kipande cha soni hadi mombo acha kabisa kinatishia amani.gari ikiyumba kidogo wote shimoni(makorongo) inasadikika kila korongo lina urefu wa km 2
 
Inasemekana Mungu ndio alitaka pawe peponi

ofkoz lushoto ni pazuri sana tena sana,nilifika maeneo ya bumbuli pako vizuri mno hali ya hewa nzuri,kijani kibichi imetawala kote.
ubaya asilimia kubwa wakazi wake hawana elimu ya kutunza vyanzo vya maji.
lushoto pakijengwa vizuri+miundombinu patakuwa pazuri zaidi ya kwetu machame
 
Back
Top Bottom