dada white
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 1,228
- 514
Tatizo wabongo swala kusomesha tunachukulia kama kuwekeza.Ipo hivi mzazi kumlea mtoto ni wajibu wake ikiwemo kumsomesha ila mtoto kumlea mzazi ni option na ukichunguza utagundua iwapo mzazi atakataa kumlea mtoto sheria inaweza kumuandama ila mtoto hawezi kuandamwa na sheria iwapo hataprovide malezi.So mtoto kumsaidia mzazi ni swala la kiutu tu kama asaidiavyo ndugu wengine.