Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
wapendwa hope wote ni wazima wa afya,nilisoma thread moja inayosema MATARAJIO YA MZAZI ANAPOSOMESHA MTOTO mletaji mada alikua akilalamika mama yake anataka hela nyingi hata kwa vitu visivyo vya muhimu kama kuchangia harusi ua jirani kisa anacheka naye vizuri ambayo stimes ni sawa pia ,swali langu linakuja je vip kwa mzazi utajisikiaje umemsomesha mwanao tena kwa kujinyima halafu leo anatokea mwanaume anamuoa binti yako hataki afanye kazi akae tu nyumbani amfulie na kumpikia na hata hela hela ya kununua sukari huipati je ni sawa Kwa ule msemo Mtu atamuacha wazazi na kuambatana na mume kwamba hahusiki na maisha ya wazazi au wadogo zake nawasilisha karibuni tujadili