A-town
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 494
- 169
Unaambiwa kuwa funzo la mjinga ni tabu, subiri kwanza tabu itufanye kweli halafu ndo tutajifunza
Mi natamani hali izidi kuwa mbaya ili tukumbuke zile kura zilikuwa na thamani ya tsht,kanga na kofia au 5000