Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Ndugu wanaJF,
Kwa jinsi serikali ya kikwete ilivyo legelege na inavyoongoza nchi hovyo hovyo, bado kuna watu wasio na haya wanaojitokeza hadharani na kumsifu. Binafsi nashawishika kuwaona watu hao kama wenye maslahi binafsi. Ukweli ni kwamba kikwete nchi imemshinda na Dunia ndivyo inavyomwona.
Kwa jinsi serikali ya kikwete ilivyo legelege na inavyoongoza nchi hovyo hovyo, bado kuna watu wasio na haya wanaojitokeza hadharani na kumsifu. Binafsi nashawishika kuwaona watu hao kama wenye maslahi binafsi. Ukweli ni kwamba kikwete nchi imemshinda na Dunia ndivyo inavyomwona.