Elly mwakipesil
New Member
- Jan 24, 2011
- 1
- 0
Nimefuatilia kwa karibu sana mechi zote za yanga kwanzia makundi hadi leo hii 1/4 finali.nilichogundua yanga bado haichezi kitimu pia ninapata wasiwasi na Timbe kwanini anapenda kutumia wachezaji wapya wengi ambao hadi leo bado hawajaelewana Tegete,Mbuna,Geofrey na wengine wengi wapewe nafasi tuone sio kulazimisha akina Mrope,Asamoah wakati kiukweli viwango vyao kwa mechi hizi nne hawajaonesha viwango tofauti na magazeti yalivyo kuwa yakiwaripoti wakati wa usajili.