Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,100
- 6,022
Jana mitaa ya huku kwetu Mabibo kulikuwa na mkutano wa kampeni za uchaguzi wa udiwani na ubunge ilifanyika hapa kigogo-luanga kwa biti kahenga,kiukweli kabla ya muh. Julius Mtatiro kuingia,yule meneja kampen wake aliongea mambo mengi sana ambayo hayakuwa na msingi zaidi ya kupiga vijembe kwa CCM, mgombea udiwani wao mr KIWOPE nae akaongea sana kuhusu kero zinazotokea na zilizopo hapa mabibo wakitolea mifano ya zahati kuwa na vyumba vitatu nk,MARA KIDOGO akaja JULIUS MTATIRO akaingia pale viwanjani..sasa ngoja nije kwenye point...huyu muheshiwa bwana kapanda stejini kaongea mno,kapiga vijembe sana kuhusu ccm na mgoBmea wake HAWA NG'UMBI kwamba huyu dada hafai,mara ooh alikuwa kampen meneja wa keenja,kama keenja kashindwa kuongoza gari atawezaje kondakta?kiukweli kwa vijembe mmeshinda,sasa huyu bwana akawa kajisahau,kaendeleza vijembe mpaka muda wa kufuturu kwa waislam umefika yeye anaendelea na vijembe tu kwa ccm,kasahau kutuambia wasiklizaji kwamba atafanya nini endapo tutampa ridhaa ya kuongoza jimbo hili la ubungo,ikabidi wale wapambe wamsukumizie kikaratasi kwamba bwana unasahau wajibu wako uache vijembe ongea sera...muda kwa kuwa ulikuwa ushaenda sana na watu wakawa wanaondoka akawa kama mtu aliyepigwa na shock/mst ujue kasemaje, yeye akiwa mbunge atafanya mambo makubwa matatu(3),nikawa mvuvmilivu wa kumsikiliza... akasema..
1) Atajenga ofisi kubwa ya mbunge na itafanya kazi masaa 12 kila siku
2)atajenga mabweni ya wasichana...hapa kasahau kwamba mabweni yatakuwa ya shule gani kwani hakutaja shule ipi atajenga hayo mabweni,huku akijua hapa mabibo kuna shule moja tu ya mabibo sec amabyo ni day,sasa sijui akiizungumzia shule hii ama loyola ..mi sijui
3)Ataanzisha na kutoa kipaumbele cha michezo katika shule za secondar akataja mfano michezoo ya ngumi(akiipa nafasi ya kwanza),netball,football nk
Sasa jamani kwa sera hizi za muheshiwa mtatiro ataipata kweli kura yangu hapa???kwa ushauri tu nakuomba bwna mtatiro achana na vijembe muda bado unao wa kujirekebisha,weka vijembe kidogo na sera ziwe nyingi,ila ukiendelea hivi naona tar 31 octoba inaweza ikala kwako,najua hili jimbo tayari ni la MNYIKA lakini ukiwa makini unaweza kuonyesha upinzani kidogo kwa mnyika,manake CCM TAYARI WAMEJIBWAGA WENYEWE KWENYE ULE MDAHALO,SO HATUWACHAGUI NG'OOOOOOOOOOOOO!!
NAWAKILISHA
1) Atajenga ofisi kubwa ya mbunge na itafanya kazi masaa 12 kila siku
2)atajenga mabweni ya wasichana...hapa kasahau kwamba mabweni yatakuwa ya shule gani kwani hakutaja shule ipi atajenga hayo mabweni,huku akijua hapa mabibo kuna shule moja tu ya mabibo sec amabyo ni day,sasa sijui akiizungumzia shule hii ama loyola ..mi sijui
3)Ataanzisha na kutoa kipaumbele cha michezo katika shule za secondar akataja mfano michezoo ya ngumi(akiipa nafasi ya kwanza),netball,football nk
Sasa jamani kwa sera hizi za muheshiwa mtatiro ataipata kweli kura yangu hapa???kwa ushauri tu nakuomba bwna mtatiro achana na vijembe muda bado unao wa kujirekebisha,weka vijembe kidogo na sera ziwe nyingi,ila ukiendelea hivi naona tar 31 octoba inaweza ikala kwako,najua hili jimbo tayari ni la MNYIKA lakini ukiwa makini unaweza kuonyesha upinzani kidogo kwa mnyika,manake CCM TAYARI WAMEJIBWAGA WENYEWE KWENYE ULE MDAHALO,SO HATUWACHAGUI NG'OOOOOOOOOOOOO!!
NAWAKILISHA