DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Najua wapo watakao bisha lakini huu ndio ukweli. Kwasababu kunakata ambazo hazija fanya uchaguzi bado kumekuwa na zoezi linalo endeshwa na enyeviti wa vitongoji na mabarozi la kunua vitambulisho vya kupigia kura kwa vijana. Hali itakayo fanya wazee tu ndio wakapige kura na CCM kuibuka na ushindi hata ikija tokea uchaguzi unafanyika nyumbani kwa slaa bado ccm itashinda daima kama hakuna hatua mbadala zitakazo Zukuliwa