Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,364
mie ndio nilie-mpa wazo aje kutafuta huku gulioni...sema point ya kuzaa lazima amesahau kuiweka....na nyingine aliyosahau kuiweka ni kuwa "ukishaolewa tuu...JF HAIKUHUSU.....unakuwa mke swafi wa ndoa na kuheshimu ndoa yako na kuwa na busara za kutosha kulea familia....sio kila siku umbea wa jf unao wewe utadhan ndio mmiliki wake ndg. maxence melloWEWE NDO UNAETAFUTA?