Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Wakuu Gurudumu, bitimkongwe, Janjaweed na wengine ambao hawafahamu
Ni kwamba (Nitaeleza kwa kifupi) huyu binti forgive (25yrs now) aliweka post yake hapa jamvini MMU akiomba apewe msaada ya kimawazo.
Alieleza kwamba aliwahi kubakwa mara mbili ktk kipindi cha miaka 7 iliyopita na watu wawili, mmoja akiwa ni mtu mwenye nyazifa kubwa na mzito kimadaraka (hakumtaja ni nani wala cheo chake). Baada ya kufanyiwa vitendo hivyo vichafu na vya kutisha na hao mashetani, alienda hospital na kugundulika ana mimba ambayo hata hivyo baadaye iligungulika imeharibika na then akapoteza kabisa na uwezo wa kushika mimba tena.
Baada ya matukio hayo akaja kupata kijana ambaye walipendana kwa dhati, akampa masharti ya kutofanya nae mapenzi kwa kuwa hakuwa sawa kiafya. Lakin kila wakiwa pamoja faragha kijana akianza kumpapasa binti, basi binti anaanza kukumbuka yote alivyofanyiwa huko nyuma na anaanza kutetemeka. Mpaka sasa anasema bado hajamwambia huyo kijana kuhusu maisha yake na wala hajaenda hospital kupima kama ameambukizwa virusi au la.
Sasa anauliza amwambie ukweli huyo kijana au la. Na akaomba msaada wowote wa kimawazo.
Wakuu wenzangu tuliosoma ule ujumbe wake, kama kuna sehemu nimekosea ktk maelezo haya tuwekane sawa
dah mkuu CPU nami nampa pole sana
Cha kufanya hapo pia kwa maoni yangu akacheki afya yake na kuconfirm kama hawezi kuzaa tena ama la...kuna hili la kuwa anaweza akampata surrogate mother kama bado ana mayai yake,
ile it so touching
jamani wakati tunadhani tuna matatizo lets think twice kuna wengine wanayo zaidi yetu mara mia!