Jamani ndio maana nikaomba mchango wa wana ccm tu.
Mheshimiwa hv ukimwaga maji ardhini unaweza kuyazoa?habari zenu wana jf wenzangu? Well ninatakiwa kutoa speech yenye kichwa cha habari "TUTARUDISHA VIPI IMANI YA WANANCHI KWA CCM?" so kama mwana ccm mwenzangu mwenye mapenzi mema na chama chetu plz ushauri wako ni muhimu . No jokes here.MUNGU IBARIKI TANZANIA.