gesti uwa tunaenda kuchinjana sio kuchinjwa ww vp mgeni kwenye mapenzi nn?
men, if you are not careful, hata kwenye familia zenu mtajifanya vidume na kukataa misaada ywa wake zenu kwenye kutunza familia and if you are not careful mkeo atasaidia ndugu zake na mwisho wake utasikia amejenga nyumba kwako, roho ikutoke!
Wanaume acheni hizo prestige zisizo na maana, emtu anapata mwanamke wa kukusaidia, unajifanya kidume na unazo! Sharing costs does not downgrade your manhood, ebooo!
Thats wuzupp girl!Ina tegemea kama kazi zake zinakubalika nalipa tu
Ndrio nntaka unifundishe.:biggrin1:gesti uwa tunaenda kuchinjana sio kuchinjwa ww vp mgeni kwenye mapenzi nn?
hapana sio sawa, inakua kama vile analipia kisu kitakachomchinja. Hii stori inanikumbusha safari ya yesu galilaya, jamaa alikwenda 100% akijua itakula kwake. So kinadada msikubali kulipia guest fungu toka mikobani mwenu!
kwasababu wanaume wengi hawapendi kuwa chini cku ikitokea wametoka then ghafla mkajickia kusex then biti akamwabia mpz wake twende mm nitalipa mwanaume atamwambia hapana ckunyingine,kwann ipo ivyo bt kama mvulana akimwambia mpz wake waonane then akajibiwa awez anadhalula atamwambia ushakutana na mwanaume mingine ndio mana utaki,kwann iwe lawama kwa mabinti?
Mimi nilitegemea member wa humu JF "the home of GREAT THINKERS" atakuwa ni mtu wa kwenda hotelini na siyo "gesti"
hapo nimekukubali kama ronaldoA family can be made anywhere it does not need a home, a home can be anywhere.