twenty2
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 296
- 32
kwasababu wanaume wengi hawapendi kuwa chini cku ikitokea wametoka then ghafla mkajickia kusex then biti akamwabia mpz wake twende mm nitalipa mwanaume atamwambia hapana ckunyingine,kwann ipo ivyo bt kama mvulana akimwambia mpz wake waonane then akajibiwa awez anadhalula atamwambia ushakutana na mwanaume mingine ndio mana utaki,kwann iwe lawama kwa mabinti?