Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Kwenye mjadala wa tuongee asubuhi uliorushwa na kituo cha runinga cha startv uliokuwa na kichwa "Maazimio ya nec ccm kuelekea 2015" Nape Nauye ameitaja Chadema mara 57 ndani ya saa 1 kwenye hoja zake tofauti wakati wa kuchangia na kujibu maswali.
Yeye binafsi alisha wahi kusema kuwa ni muda wa Chadema kucheza ngoma ya ccm, najiuliza hiyo Nec ilikaa ili kuijadili chadema au kutengeneza mpango mkakati wao kuelekea 2015?
Yeye binafsi alisha wahi kusema kuwa ni muda wa Chadema kucheza ngoma ya ccm, najiuliza hiyo Nec ilikaa ili kuijadili chadema au kutengeneza mpango mkakati wao kuelekea 2015?