Kwa mtindo huu maendeleo tutayasikia kwa wenzetu tu.

PISTO LERO

JF-Expert Member
Mar 8, 2011
2,819
1,454
Maghufuli hili linafanyika chini ya wizara yako,Arusha inahitaji kujengwa barabara za nnje ya jiji kutokana na barabara hizo kuwa mbaya kupita kiasi nakupelekea barabara kuu ya uhuru kuwa na msongamano wa magari kupita kiasi,barabara hi ya uhuru inahitaji marekebisho kidogo tu ili iendelee kutumika kwamuda mrefu zaidi,wanajamvi hamwezi kuamini kinacho endelea sasahivi ni lami yenye kama NCH moja na1/2 inawekwa juu ya lami,hili linafanyika kwenye barabara ya uhuru na imeanza kuzua malalamiko kwa wananchi.na kuhoji ukowapi umakini wa viongozi nchi hiii?
CHANZO:MIMI MWENYEWE
 
Maghufuli hili linafanyika chini ya wizara yako,Arusha inahitaji kujengwa barabara za nnje ya jiji kutokana na barabara hizo kuwa mbaya kupita kiasi nakupelekea barabara kuu ya uhuru kuwa na msongamano wa magari kupita kiasi,barabara hi ya uhuru inahitaji marekebisho kidogo tu ili iendelee kutumika kwamuda mrefu zaidi,wanajamvi hamwezi kuamini kinacho endelea sasahivi ni lami yenye kama NCH moja na1/2 inawekwa juu ya lami,hili linafanyika kwenye barabara ya uhuru na imeanza kuzua malalamiko kwa wananchi.na kuhoji ukowapi umakini wa viongozi nchi hiii?
CHANZO:MIMI MWENYEWE

Wewe ni raia wa wapi? hujui tanzania haijui kujenga maendeleo ila inajua kujenga jina la chama tuu? Tanzania inajua
1_kusaidia wakimbizi
2-kutukana mabepari
3_kutatua migogoro ya nchi za watu wengine
4-kumchukia mhayudi
5-kucheza kwata uwanja wa taifa
6-kufundisha mgambo
7-kudanganya umma
9-kuuwa viwanda vyake na kujenga daraja kubwa la watu wasio na kazi
10-kusifia uongozi wa awamu ya kwanza masaa 24

hayo ndiyo mambo tuliyofanyia kazi miaka 50 tangia tupate uhuru!!haya mambo ya kuwa na jiji zuri, kuwa barabara nzuri, na juwa na katiba ya watu, hayana nafasi katika jamii hii ya sasa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kimsingi kinachifanyika Uhuru Road ni sahihi wanaongeza layer ya lami coz iliyopo inaonekena kuchoka, so tusiwe wepesi wa kulaumu kila jambo!
 
Ndugu hiyo barabara haihitaji ukarabati mkubwa hivyo wakati ukitoka kidogo tu nje ya hiyo barabara hakufai,tukubali hapa kunamchezo
 
Back
Top Bottom