Msambaa mkweli
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 320
- 342
Kwa nilichokiona kupitia ITV, PM hawezi kutoa tamko rasmi la serikali, upepo umengeuka. Je utafukuza kazi na utumishi, watumishi wote? "na litakalo kuwa na liwe" nakushauri PM ktk vita hii, anza kufukuza wagonjwa.