Fredrick Nexus
New Member
- Oct 8, 2012
- 2
- 0
Kwa upeo wangu mdogo, nadhani kwa kuwa serikali ilifikiri kwa kina au ilikopi na kupest mfumo huu toka nchi nyingine na kujaribu ufanyia kazi utakuwa sio mfumo sahihi, huwezi ita watu 140 kwa post 1 hata kama mnataka ushindani si kiivyo ukizingatia haitoi huduma ya wanaokwenda katika interview,Bora wangeurudisha utaratibu ule ule wa zamani wa kuajiri toka wilayani na mikoani.