Labda huyo wa CUF... ila chadema hawakuwatendea haki wana-tabora kwa kutosimamisha mgombea wa ubunge....
Hivi Chadema hawakusimamisha mgombea pale TBR Mjini? hawa jamaa naona wasanii tu wote hamna mwenye point hata mmoja, kwa mtaji huu CCM wameshalikwaa jimbo hilo!
duh...wote vichwa maji. Ccm itapeta. Kuna mmoja kaja na vipaumbele vyake zaidi ya saba na atavitekeleza ndani ya week moja na nusu toka apate ubunge. Kaaaazi kweli kweli.
Hivi Chadema hawakusimamisha mgombea pale TBR Mjini? hawa jamaa naona wasanii tu wote hamna mwenye point hata mmoja, kwa mtaji huu CCM wameshalikwaa jimbo hilo!
Pendekezo zuri. Hata kama hakuna makubaliano rasmi kati ya vyama ni vizuri pale ambapo mgombea mmoja wa upinzani anaonekana kukubalika wote tumpigie huyo kura. Tabora onyesheni mfano kwa kumpigia mgombea wa CUF. Kinachohitajika ni nguvu ya mageuzi bungeni. Rage anajulikana ni fisadi papa.basi ni vizuri sisoteee tukamuunga mkono huyo wa cuf
duh...wote vichwa maji. Ccm itapeta. Kuna mmoja kaja na vipaumbele vyake zaidi ya saba na atavitekeleza ndani ya week moja na nusu toka apate ubunge. Kaaaazi kweli kweli.