Kwa mtaji huu mradi wa Mradi wa mabasi yaendayo kasi jijini ni hadithi!

Status
Not open for further replies.

Tusker Bariiiidi

JF-Expert Member
Jul 3, 2007
5,520
2,091
Nimeshangazwa sana na picha iliyopo katika gazeti la Mwananchi la ukurasa wa mbele yenye caption ifuatayo nanukuu "Mfanyakazi wa Ubungo Bonica (Botanical) Garden akiondoa Maji katika shimo la kupanda mti kwenye barabara ya Sam Nujoma jijini Dar es Salaam,ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mkutano wa kiuchumi wa Dunia kuhusu Bara la Afrika (World Economic Forum on Afica-WEF) unaoanza keshokutwa". Picha na Salhim Shao.
Picha hiyo inaonyesha ile sehemu iliyotengwa kwa ajili ya ule mradi maarufu kama wa magari yaendao kasi ikipandwa miti tena ya gharama maarufu kama Royal Palm ambayo gharama ya mti huo kutokana na ukubwa wake inaweza kuwa Laki 9 mpaka Millioni 1 kwa mti na jinsi ilivyo karibu karibu itakuwa imegharimu mamilioni ya pesa za mlipa kodi,sasa pamoja na gharama za kuipanda na kuitunza mpaka ikubali ni dhahiri siyo ya kukatwa leo wala kesho,sasa je ule mpango wa DART (Dare es Salaam Rapid Transport) unakuwa ndio hadithi wadau mwalionaje?:angry:
 
Nimeshangazwa sana na picha iliyopo katika gazeti la Mwananchi la ukurasa wa mbele yenye caption ifuatayo nanukuu "Mfanyakazi wa Ubungo Bonica (Botanical) Garden akiondoa Maji katika shimo la kupanda mti kwenye barabara ya Sam Nujoma jijini Dar es Salaam,ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mkutano wa kiuchumi wa Dunia kuhusu Bara la Afrika (World Economic Forum on Afica-WEF) unaoanza keshokutwa". Picha na Salhim Shao.
Picha hiyo inaonyesha ile sehemu iliyotengwa kwa ajili ya ule mradi maarufu kama wa magari yaendao kasi ikipandwa miti tena ya gharama maarufu kama Royal Palm ambayo gharama ya mti huo kutokana na ukubwa wake inaweza kuwa Laki 9 mpaka Millioni 1 kwa mti na jinsi ilivyo karibu karibu itakuwa imegharimu mamilioni ya pesa za mlipa kodi,sasa pamoja na gharama za kuipanda na kuitunza mpaka ikubali ni dhahiri siyo ya kukatwa leo wala kesho,sasa je ule mpango wa DART (Dare es Salaam Rapid Transport) unakuwa ndio hadithi wadau mwalionaje?:angry:

Mkuu Tusker Bariiiidi, thread yako hii umeitelekeza siku nyingi hebu tupia mawili matatu tuendeleze mjadala.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom