Mimi huwa napenda hiphop sana.Niliposilikiza hii video ya Cypher 2012-Various Artists nilipatwa na mshangao.Sijui Fid Q alikuwa anafikiria nini kwenye ule mstari anaosema "Changanya ****** ili mavi yasigande"...
mpumbavu huyo.
sijui hata kwa nini watu wanamsifia ukizingatia katika kila nyimbo yake ni lazima aibe kazi ya wana mashairi wetu au wana methali wetu walioumiza vichwa na kutunga misemo then yeye ana copy na kupaste kisha akileta sokoni watanzania oya oya wanamsifu na kumpaisha...
Kuchemka kupo kwa kila binadamu ndiyo maana kwenye track yake ya usinikubali haraka anasema...binadamu mimi najua sijakamilika,nitwange kama dawa za utamu kila dakika! Pia kuna nyingine ile Fid Q.Com kuna mstari anasema...maneno machafu mpumbavu huyadaka upesi,mithili ya nzi na mlima kinyesi.Sijui kwa nini anapenda kuyatumia maneno ya aina hii...labda kwa sababu hahitaji marafiki labda ampate mmoja ya kuongea nae,mwingine wa kumwongelea!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.