Kwa msimamo huu wa spika Makinda; Naamini CCM inawatoa kafara la damu watanzania!

Yatupasa kujitathimini upya Watanzania NIDHAHIRI SERIKALI INATUTOA KAFARA WATANZANIA!!!
 
Nianze kwenye nyekundu, how?
Kama unazungumzia bunge kwa sababu limechaguliwa directly na wananchi,je limechaguliwa ili likafanye nini?
Kumbuka kuwa mbunge siyo kiongozi wa wananchi wa jimbo lake, ni mwakilishi tu kwenye utungaji wa sheria. Zaidi ya hapo, ni mwananchi kama wananchi wengine. Sasa kama hakimu mkazi wa mahakama ya kisutu anafanya kazi (as a regular citizen) kwanini mbunge asifanye kazi?
Mbunge siyo kiongozi, siyo mtekelezaji na wala siyo mfanyakazi wa utendaji. Kuhudhuria kwake msiba ni kama wananchi wengine .... baada ya kazi unless awe anahitajika kwenye kikao cha halmashauri ya wilaya/manispaa/jiji husika.
Mbunge huwakilisha jimbo na wanajimbo wake na rais huwakilisha taifa as a whole. Kwa hiyo Ndesamburo kususa kwa sababu hakupewa off ya kwenda unguja msibani (I doubt if he'd have gone newayz) haileti mantiki. Labda kama mnataka ku-force mambo, but nah!,.... sorry.

nahisi wewe ni mama Makinda. Umekesha leo baada ya kuharibu bungeni !
Dah, Ndio maana wamarekani husema;
1. "Some people are alive only because it's illegal to kill them."
 
haileti mantiki. Labda kama mnataka ku-force mambo, but nah!,.... sorry.[/QUOTE]


una undugu na mwigulu ?..u sound like him
 
Hayo mambo yanahusiana vipi na shughuli za bunge? Ajali ikitokea vikosi vya uokoaji, polisi wanajeshi na wafanyakazi wengine wanaohusika ndio wanaoshughulikia. Sasa wabunge waahirishe kikao ili wafanye nini?.. Itasaidia nini? Kama Hamad alikuwa na udhuru si angeenda tu kuwapa pole wanajimbo wake, haijalishi saa nne asubuhi au saa kumi na mbili jioni.
Ni mambo ambayo kusema kweli hayana maana yeyote zaidi ya kuleta mtafaruku ndani ya bunge...... Pointless!

Na KANUMBA alihusika vipi na bunge?
Mbona bibi kiroboto alihairisha kikao cha bunge siku ya msiba wake?
TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Hayo mambo yanahusiana vipi na shughuli za bunge? Ajali ikitokea vikosi vya uokoaji, polisi wanajeshi na wafanyakazi wengine wanaohusika ndio wanaoshughulikia. Sasa wabunge waahirishe kikao ili wafanye nini?.. Itasaidia nini? Kama Hamad alikuwa na udhuru si angeenda tu kuwapa pole wanajimbo wake, haijalishi saa nne asubuhi au saa kumi na mbili jioni.
Ni mambo ambayo kusema kweli hayana maana yeyote zaidi ya kuleta mtafaruku ndani ya bunge...... Pointless!
Hivi wewe unaakili kweli ama? Wacha kutoa maneno ya kifedhuli.
 
JUST FOR CURIOSITY, Hivi wakati wabunge wa upinzani CDM, CUF, NCCR, TLP wanatoka nje ya bunge kupinga kitendo cha SPIKA kukataa kuahirisha bunge kwasababu ya ajali ya meli ya Karama, Je wale WABUNGE WA CCM kutoka Zanzibar (Unguja na Pemba) walibaki nadni ya Bungeni?

Je wabunge wa CCM waliwazomea kama kawaida yao wabunge wa Upinzani wakati wanatoka nje?
 
Nianze kwenye nyekundu, how?
Kama unazungumzia bunge kwa sababu limechaguliwa directly na wananchi,je limechaguliwa ili likafanye nini?
Kumbuka kuwa mbunge siyo kiongozi wa wananchi wa jimbo lake, ni mwakilishi tu kwenye utungaji wa sheria. Zaidi ya hapo, ni mwananchi kama wananchi wengine. Sasa kama hakimu mkazi wa mahakama ya kisutu anafanya kazi (as a regular citizen) kwanini mbunge asifanye kazi?
Mbunge siyo kiongozi, siyo mtekelezaji na wala siyo mfanyakazi wa utendaji. Kuhudhuria kwake msiba ni kama wananchi wengine .... baada ya kazi unless awe anahitajika kwenye kikao cha halmashauri ya wilaya/manispaa/jiji husika.
Mbunge huwakilisha jimbo na wanajimbo wake na rais huwakilisha taifa as a whole. Kwa hiyo Ndesamburo kususa kwa sababu hakupewa off ya kwenda unguja msibani (I doubt if he'd have gone newayz) haileti mantiki. Labda kama mnataka ku-force mambo, but nah!,.... sorry.

Huyu atakuwa ni mganga wa kienyeji aliyekuwa kwenye kikao cha kupanga mipango ya kumwaga damu baharini (kwa LEBIATHAN) lile joka la baharini/shetani ili serikali yake iimarike zaidi maana ipo kwenye misukosuko sana.
 
Tatizo la Makinda amekuwa akiliendesha bunge kama familia yake yeye akiwa mkuu wa familia na wabunge kama watoto wake.
 
Hayo mambo yanahusiana vipi na shughuli za bunge? Ajali ikitokea vikosi vya uokoaji, polisi wanajeshi na wafanyakazi wengine wanaohusika ndio wanaoshughulikia. Sasa wabunge waahirishe kikao ili wafanye nini?.. Itasaidia nini? Kama Hamad alikuwa na udhuru si angeenda tu kuwapa pole wanajimbo wake, haijalishi saa nne asubuhi au saa kumi na mbili jioni.
Ni mambo ambayo kusema kweli hayana maana yeyote zaidi ya kuleta mtafaruku ndani ya bunge...... Pointless!

rashid muhamad aliomba mwongozo na kumwomba spika kwa vile ajali hii ni kubwa sisi wabunge wa zanzibar tunakuomba bunge liendelee na kupitisha bajeti lakini sisi mturuhusu tuungane na wenzetu katika uokozi.

majibu ya spika.
waheshimiwa wabunge sisi tuendelee na kazi iliyopo mbele yetu mpaka tumalize na tuiachie serikali hiyo kazi waziri atafuatilia na kutuletea taarifa.
na kuna habari kutoka kwa waliokuwa wanalifuatilia bunge kuwa alisemaangeahirisha kama ajali ingetokea dodoma angeruhusu ili wabunge wakatoe damu.
baada ya majibu hayo wabunge wa zanzibar na wapinzani wote wakaungana kutoka nje.

Sikuona sababu ya kukataa hoja ya Rashidi ikiwa kulikuwa hakuna athari za kuahirisha bunge. Ni akili ndogo tu ilitakiwa hapa na si nguvu kubwa iliyotumika, kuna tofauti gani kati ya Rashid na Nchimbi?
 
Huyu atakuwa ni mganga wa kienyeji aliyekuwa kwenye kikao cha kupanga mipango ya kumwaga damu baharini (kwa LEBIATHAN) lile joka la baharini/shetani ili serikali yake iimarike zaidi maana ipo kwenye misukosuko sana.

yAWEZEKANA maana CCM WACHAWI SANA siku za nyuma walikuwa wanatoa kafara WABUNGE kwa kila kikao cha bunge kwa sasa wabunge wamestuka hakuna kifa cha ajabu ajabu kwa wabunge kwa sasa, poleni ndugu zetu wazanzibar mtakufa sana maana magamba wamegundua nyie ndiyo mtaji mpya wa kafara.
 
Mkuu nakubaliana na wewe, Dr.Mwakyembe alishasema Serikali inaendeshwa na wapiga lamri... hatuwezi kufika.
 
Makinda alipochemsha ni pale kuikubali hoja ya nchimbi angeendelea kukomaa tu
 
unajua hata ukipata cheo gan katika hii universe kama brain yako haipo smart daima utakuwa ni mtu wa kufuka tu,mama ni kijiji mtu mtu kijiji
 
kuahirisha bunge ni kuonesha care kwa wananchi walio waweka ile sehemu na pale kuna ndugu zetu wengi tu ambao wamekutwa na mkasa wa hiyo boat kuzama
 
Spika hakua na habar za uhakika kuhusu hiyomeli kupinduka na kuzama ndio maaana alikua anamngja waziri husika atoe taarifa kamili therfore asingeweza ahirisha bunge kbla ya taarifa kamili ths my point of view,,!namtetea kwahlo lkn mwngne hapanaa
 
Spika hakua na habar za uhakika kuhusu hiyomeli kupinduka na kuzama ndio maaana alikua anamngja waziri husika atoe taarifa kamili therfore asingeweza ahirisha bunge kbla ya taarifa kamili ths my point of view,,!namtetea kwahlo lkn mwngne hapanaa
Hivi Ncimbi alitoa sababu gani za kuhairishwa kwa bunge?
 
Mie jana nilitamani nikapasue kichwa cha huyu mama ..yaani tumemvumilia tumechoka anatakiwa kupimwa akili kama iko timamu...
yaani kuna mambo yanasikitisha sana hapa Tanzania
 
Back
Top Bottom