twenty2
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 296
- 32
kwa upande wangu ni sawa coz si mpz wangu nina uhuru wa kumwambia lolote ninalojisikia kwake,lakini nashangaa kwa wasichana wengine wanaona wanaume ndio wanotakiwa kusema ivyo bt kwangu naona kwa wote ni sawa ndio maana na mapenzi.bt sijui wenzangu mnaonaje ili lipo sawa?or sio sawa?